Acha upuuz wewe, tofauti na serikali mlikuwa na nini hapo???? kinachowabeba na serikali kuhmia hapoTunafanya kazi ndomana tumewazidi mtwara japo tupo jangwani na nyie mpo kwenye neema zote lakini hamtupati
we acha tuJPM hakuwa na akili,mradi kama wa airport ya Chato ulikuwa hauna maana kwa sasa,alikurupuka tu,
Hivi kama una akili timamu unawezaje kuweka international airport kwenye wilaya kabla ya makao makuu ya mkoa,yaani ujenge airport Karagwe kabla ya Bukoba mjini,au Hai kabla ya Kikimanjaro,au mpwapwa kabla ya Dodoma mjini.
Upembuzi yakinifu maana yake nini?
Hii nchi ilihitaji kiongozi shupavu anayeweza kuisukuma mbele kwa nguvu. Na mtu pekee aliyeweza kufanya hivyo ni Magufuli pekee.
Nchi lazima ijengwe na wenye akili na wanaojitambua, sio MAJIZI wanaojificha kwenye maneno ya kitapeli na ujanja ujanja.
Mara sijui upembuzi yakinifu sijui nini nini! Upuuzi mtupu!
Ndio maana ndani ya miaka mitano tu, nchi imejengwa kweli kweli. Maana alikuwepo mtu anayejitambua.
Mabarabara, vituo vya afya, ndege, meli sijui manini. Kila mahali miundombinu.
Nyinyi magoigoi mmejifungia vyumbani mnajamba tu na kuja na stori uchwara, ati upembuzi yakinifu.
Fanya kazi, acha ujanja ujanja!
Huo upembuzi yakinifu kafanye na mmeo huko. Wananchi wanahitaji kazi sio blah blah.
nani kakwambia? waulize wamakonde pamoja nchi hii sio yao wana wimbo kila mtu anakwao! huo mji wa wamatumbi nyinyi kaeni tuAcha upuuzi wako. Kila mkoa ni nyumbani kwa Mtanzania yoyote anayetaka kuishi, wala haihitaji passport au visa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
jana jioni nimeifuatilia ni kweli watu wanalipwa ila inawezekana kwa hiyo sehemu ya nkuhungu ndiyo haitahusika kuna uwezekano wamefanya marekebisho.Mleta mada hili bandiko si kweli, mbona watu wanafidiwa ili kazi ianze ?
soma.barua vizuri hapo chini,inasema kusitisha ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati(middle ringroad).barua haijasema kuchepusha plan ya awali ya barabara!jana jioni nimeifuatilia ni kweli watu wanalipwa ila inawezekana kwa hiyo sehemu ya nkuhungu ndiyo haitahusika kuna uwezekano wamefanya marekebisho.
nilikuwa na mtu mmoja anayefuatilia huo mradi kwa ukaribu wizara mmoja hivi akanijibu hivyo .
kwa hiyo ipo ila Nkuhungu labda haitapita.
Hakuna cha legacy alikua mkurupukaji,Kazi ipo kwakweli..kwahiyo makao makuu wameanza kuua legacy ya mwenda zake.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo tunahoji,kwa nn waiondoe!?,kpnd Wana iplan hii barabara naamini waliona umuhimu wa kuweka hii barabara mapema.Hapo nadhani ilio ondolewa ni middle ring road ambayo ni ile ring road ya kati. Outer ring road ambayo ndio ya muhimu zaidi na ambayo itakua funded na ADB bado ipo kwenye plan. Na outer ring road ndio muhimu zaidi ku route big trucks traffic ya zile njia nne kubwa kutoka nnje ya jijini bila ya kuingia Dodoma city center
Middle ring road haukua siyo katika miradi ya kimkakati ulikua ni mradi wa kupendezeqha mji wa dodoma. Mradi wa kimkakati ni Dodoma city outer ring road ambao anaendelea na ujenzi.Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli sote twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine mingi.
Miradi hii kiukweli ilileta mabadiliko makubwa ya maendeleo ya miji na vijiji,na kuleta mvuto wa miji maeneo ambayo miradi hiyo ilipita.
Baada ya kifo Cha Hayati Magufuli, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, kuna mijadara mingi mitaani kuhusu kuendelezwa kwa hii miradi.katika pitapita nikakutana na hili la kusitishwa kwa ujenzi wa ringroad ya kati ya jiji la Dodoma, ambayo ilipitia maeneo ya mtaa wa Nkuhungu
Mkurugenzi wa jiji la Dodoma amesitisha ujenzi wa ringroad hiyo, na kuwaruhusu wananchi waendelee na shughuli zao za ujenzi kama kawaida. Mradi huu wa ujenzi wa middle ringroad hii ,ni baadhi ya miradi ambayo iliasisiwa kipindi Cha Hayati Magufuli enzi za uhai wake,ktk kulifanya jiji la Dodoma kuwa na muonekano mzuri na uliopangika vizuri.
Kwasasa mitaani watu wanajadili je!, hii miradi iliyoasisiwa na Hayati Magufuli itakamilika kweli!? au ndo hivyo tena itabaki kuwa hadithi isiyokuwa na mwisho!!
Japo kuna siku nilimsikia Waziri Mkuu akiwatoa wasiwasi watanzania kwa kusema , "watu waondoe mashaka miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano, yote itakamilishwa kwa muda uleule uliokuwa umekadiliwa awali, enzi za uhai wa Hayati Magufuli".
Je!,ilikuwa ni kuwatuliza watu pressure za mashaka au !. Kama hii miradi midogo imeanza kusitishwa mdogomdogo, je hii mingine ya mabilioni ya pesa itakuwaje!? Anyway ngoja tuone mambo yatakuwaje.
Ila wananchi tumeyatunza maneno ya Waziri Mkuu kwenye kumbukumbu zetu, alitutia moyo na kutuondoa mashaka kwamba miradi yote iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano itakamilika.
Waziri Mkuu ,tunakumbuka maneno yako,ipo siku tutataka utupe maelezo ,ilikuwaje??
IPO hivi kwa kuwa chetu cha Msalato na Outer tumepewa Sasa wajenge wasijenge sawa TU!DODOMA pabaya huwezi kupafanya pawe pazuri kwanza mkoa gani upo upo tu umepauka vile. Hiyo Miradi bora wapeleke Mtwara maana tutanufaika na gas na Samak,dagaa,korosho . Damn Dodoma
Tukijenga hizo ringroad pesa ya chanjo tutatoa wapi? Pesa ndio zimeporwa huko wanampelekea beberu ili atupe chanjoHuu mradi vipi nilisikia same ukancel haupo tena? Tupe data wadau wa Dodoma kama unaendelea
Ujenge Barabara ambayo haina Manufaaa kwa sifa tu kama Daraja la Tanzanite ili Wagogo wapitishe MbuziHuu mradi vipi nilisikia same ukancel haupo tena? Tupe data wadau wa Dodoma kama unaendelea