Dodoma: Shaka Hamdu Shaka kuzungumza na Vyombo vya Habari leo Juni 22, 2021

Dodoma: Shaka Hamdu Shaka kuzungumza na Vyombo vya Habari leo Juni 22, 2021

Baraka Mina

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2020
Posts
586
Reaction score
590
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Taifa - Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka atazungumza na vyombo vya habari siku ya leo tarehe 22/06/2021 katika ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi jijini Dodoma.

Ikumbukwe kwamba mchana wa leo Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Hassan Suluhu imefanya kikao katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete (Jakaya Kikwete Convention Center) jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya kikao cha kawaida cha kikatiba cha Kamati Kuu.

IMG-20210622-WA0141.jpg

IMG-20210622-WA0123.jpg
IMG-20210622-WA0134.jpg
IMG-20210622-WA0135.jpg


IMG-20210622-WA0121.jpg
 
Hicho kikao ni ushahidi tu maamuzi yameshafanyika kabla ya kikao!!Hapo Shaka anaenda kutekeleza maagizo tu aliyopewa!!!
 
Katibu wa vijana anateuliwa na KK
 
Yes: Huyu Inawajua binadamu na mahitaji yake, sio kujua idadi ya samaki bahalini na mabarabara. Its like organizational behavior v/s atomic theory . Tulichelewa sana eti jamani??
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Taifa - Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka atazungumza na vyombo vya habari siku ya leo tarehe 22/06/2021 katika ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi jijini Dodoma.

Ikumbukwe kwamba mchana wa leo Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Hassan Suluhu imefanya kikao katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete (Jakaya Kikwete Convention Center) jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya kikao cha kawaida cha kikatiba cha Kamati Kuu.

View attachment 1826565
View attachment 1826558View attachment 1826559View attachment 1826560

View attachment 1826557

Kwa barakoa hizi uhuru stadium kutatusamehe kwa muda.
 
Sijui kama ataongea la maana,Mara nyingi ana kauli za hovyo
Ameshaongea na waandishi wa habari. Ndg. Kenani Kihongosi ameteuliwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kuwa Katibu Mkuu wa UVCCM.
 
Kuna namna mbalimbali za kujikinga kama kutumia vipukusi (sanitizers)

Inapokinga barakoa kipukusi si applicable and vice versa.

Barakoa hukinga maambukizo ya moja kwa moja tokea mtu hadi mtu.

Vipukusi hukinga maambukizo yapitiayo sehemu ambako mwingine anaweza kugusa kwa mikono yake kisha akagusa tena machoni, puani au mdomoni kwake.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom