Dodoma: Sitta apita;asubiri kupitishwa

kwa mara nyingine Pasco naona unashinda (Una mikoba ya Sheikh Yahaya au T.B. Joshua)
iko siku mtaamini kuwa huyu jamaa ataliminya hilo Bunge la Kikatiba ili liikubali Serikali 2 badala ya 3 kwani ndio Msimamo wake, ambapo Wazanzibar wengi wanaitaka Nchi yao, kutakuwa hakuna kura za Makundi ila za ujumla za Ukumbi wote.
Kaa ufahamu hata Posho itapitishwa kukaribia 700,000/ ambapo hata Wahudumu na Waandishi watataka nyongeza hiyo
Kiko wapi Maisha Bora kwa Mtanzania ? Wakati Wabunge wanavuta isivyo halali
shilingi 150,000/ kwa Mji wa Dodoma inatosha kabisa Marcus Abanie
 
Last edited by a moderator:
mi nahtaji m2 asiyetaka urais,sita hapana atafutwe m2 neutral km warioba il aweze tenda haki.
 
Najiuliza ni nini haswa kilisababisha kupachikwa hicho kipengele wakati ule na kwanini kwa nafasi hii kimekuwa kizito kupachika??
Inaelekea hata ndani ya chama tawala mood imebadilika kabisa, haitabiriki.
 
Anafaa kuwa Spika sio Presidaa.....6 hana Qualities za kuwa Presidaa wa Tz
huyo mlomuona ana qualities za kuwa presidaa amefanya nini mpaka sasa kama si kutuachia vilio kila kitu bei juu. Tuombe Mungu tupate rais atakayetukomboa. hizo kambi za wanaotaka urais wapigane wachambane hiyo haituhusu
 
Tuombe Mungu tupate rais atakayetukomboa
Mkuu Anna Lolo, japo mimi sio Mungu, ila sisi binadamu tumeumbwa kwa mfano wake zikiwemo nguvu za Uungu ndani yetu, hivyo hata kabla hujaomba, Mungu aliishasikia, na tayari ameishatupatia rais wa kutukomboa Watanzania!.
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mambo, unaweza kuona na kufuatilia juhudi mbali mbali za ukombozi wa Mtanzania ambazo zimeisha anza!. Tatizo kubwa kabisa la kwanza la Watanzania ni umasikini wa roho, umasikini wa mawazo, umasikini wa akili, na umasikini wa mali, huu ndio umeanza kushughulikiwa!.
Pasco
 
Mwenyekiti wa muda wa sasa, Pandu Kificho ni mzuri pia; anajua kubalance mambo na pia hana jaziba za kijinga kama akina Makinda na msaidizi wake. Huyu mzee ni mtu mwenye busara. Mimi nafikiri awe walau mwenyekiti msaidizi.
 
Mbali kote huko kwa TB Joshua kufuata nini?!, aliyeko ndani ya TB Jushua ndio yuko ndani yako!.
Pasco

Ah! Kaka yasije yakawa ya SHekhe Yahya,unatabiri kifo cha mwenzako unakufa mwenyewe ndiyo uwoga wangu tu.
 
Mwenyekiti wa muda wa sasa, Pandu Kificho ni mzuri pia; anajua kubalance mambo na pia hana jaziba za kijinga kama akina Makinda na msaidizi wake. Huyu mzee ni mtu mwenye busara. Mimi nafikiri awe walau mwenyekiti msaidizi.
Nakubaliana na wewe, kwanza sheria hairuhusu!, pili hata sheria ingeruhusu, kanuni isiingeruhusu, jana wametunga kanuni Mwenyekiti akiwa wa jinsia fulani, makamo M/Kiti lazima awe jinsia tofauti!.
Pasco.
 
Mwenyekiti ni Sitta na Rais wa Tanzania mwaka 2015 ni Sitta " sawasawa" Maalimu Seif Sharif ha ha ha ha ha ha mtabana mwisho mtaachia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…