Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are ni tofauti na your.Your more than rubbish
Sahihi kabisa, huwezi kukilinganisha CCM na Chama chochote cha mtu binafsi hapaCCM wako organized
Hata ulichoandika pia kinafanana na huo ujingaYou are ni tofauti na your.
Mlienda shuleni kusomea ujinga ?
Moto utawaka kesho, Mungu ibariki CCM kwani bila CCM amani hakuna
😆😆😆 Nchi yangu watu wanguSawa hamna shida
NDANI YA CCM RUSHWA NI HALALI ILA NJE YA CCM CCM HUKEMEA RUSHWAWatoa rushwa wote kukatwa tena bila huruma,
Lazima Chama kisimamie hili kwa nguvu zote
Lete hayoaandishi yanayoonesha Rushwa ni halali ndani ya CCM,NDANI YA CCM RUSHWA NI HALALI ILA NJE YA CCM CCM HUKEMEA RUSHWA
Not close even remotely. Labda ungemfananisha na vijana kama Abdul Nondo.Huyu Bwana Shaka namfananisha na Malema wa SA,
Ikiwa hivi watakatana wote!Watoa rushwa wote kukatwa tena bila huruma,
Lazima Chama kisimamie hili kwa nguvu zote
Ujinga mtupu! elimu yako lazima ni duni sana!Huyu Bwana Shaka namfananisha na Malema wa SA,
CHAMA CHA MAUMIANI
Nondo bado Sana,Not close even remotely. Labda ungemfananisha na vijana kama Abdul Nondo.
Kesho yake kisiasa inang'aa, labda aitibue mwenyewe.Nondo bado Sana,
Mfano bora wa wizi, ufisadi, ushirikina, uvivu, uuaji, ujinga na upumbavu.Vikao na mikutano bora kabisa nchini mwetu, kila LA heri kwa CCM ninyi no mfano bora na wa kuigwa kwa demokrasia
Nenda kwa Ras Simba kwanza ndio uje kuandika "yai" kilaza wewe.Your more than rubbish
Daaah, JF hatupoi,Nenda kwa Ras Simba kwanza ndio uje kuandika "yai" kilaza wewe.