Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
my friend SA is in southern africa....hehe...akili imejaa kamasiWe neend more eastern countries to join. Eg Mozambique, Madagascar, DRC, Somalia, Ethiopia, South Africa, Comoros etc. So the Capital city of the Nation will be Dodoma.
if they join then it will greatCheck the First United Democratic Republic of East Africa
View attachment 505204
After first Phase second phase Angola and Namibia shall join.
Mbona unachekesha sana ndugu? Hivi hujui kwamba Burundi kaomba kujiunga SADC ambaye yupo EAC. Hujui kwamba DRC kaomba kujiunga EAC wakati yupo SADC.Mbona mnabehave kama watoto wadogo hivi... mnajenga nyumba za makaratasi alafu mnaanza kujadiliana.... Hii yote ni wishful thinking, unless mniambie kwamba mnafanya 'what-if' situation ambayo "anything goes".... maanake hii haiwezi fanyika in reality...
First of all, ile Azamo ya AU-2063 ambayo inatarajia Africa yote kuungana inataka wanachama kama EAC, SADC, ECOWAS waungane mwazo kutengeneza Federation moja, kwahivyo kitamso sisi kama kenya tuungane na SADC, Lazma tuungane kama EAC mwanzo, na EAC haiwezi kuungana na SADC kama ECOWAS haijaungana, ikifika huo wakati, sote twaungana kwa pamoja ili muungano mmoja usiwe na nguvu kushinda muungano utakaokua umebaki.... Tayari ukiangalia Addis Ababa ni HQ ya AU kwahivyo logically hion ndo capital city ya muungano wowote mkubwa wa nchi za kiafrica....
lakini hata hayo maazimio ya 2063 ni ndoto, in reality kama tungetaka kufanya hivyo tungefanya baada ya nchi zetu kupata uhuru... lakini kwa sasa haya hayawezi fanyika
Capital is arushaDo you know that the last thing of the community is political federation? Its means that until 2030 the community is going to be a federal state.
1. One president
2. One Currency
3. One Army
4. One National Anthem
5. One Government
It will not be the community again. It is going to be a sovereign state. "Federal Republic of East Africa" (FREA), Unites State of East Africa (USEA), United Republic of East Africa (UREA), United Kingdom of East Africa (UKEA) whatever we call it. But shall be the One Nation and the Capital City is Dodoma.
Na wewe nawe angalia Map vizuri Hizo nchi umetaja ni nchi ambazo ukiangalia kwa map zinaanguka ndani ya East of Africa, Souththern side of Africa na pia zengine ni central part of Africa..... kwahivyo si vigumu sana kuomba kuingia kwa chama kimoja au kingine, Lakini baada ya hizo nchi huko mbele umetoka nje ya East Africa, haiwezekani watake kujuinga na chama cha east na wao ki giographia wako west.... tena ukiangalia hizo nchi ambazo zinaingia hivi karibuni ni nchi ambazo zinapitia majaribio makali ya kisiasa, ama serekali zao ni changa na hazijakomaa kisiasa, bado hawana msimamo kamili wa kimataifa S.Sudan, Burundi, Somalia, DRC zote ziko hivyo, lakini kwa nchi ambazo zimekomaa tayari ni vigumu sana kuingia chama kingine kati ya SADC, EAC... usitarajie nchi kama kina mozambique ama Egypt-eti iwache Arab league ziingie EAC!!!Mbona unachekesha sana ndugu? Hivi hujui kwamba Burundi kaomba kujiunga SADC ambaye yupo EAC. Hujui kwamba DRC kaomba kujiunga EAC wakati yupo SADC.
Fanya utafiti kwanza kabla ya kuja kuongea
Ni jina la mtaa/mahali/eneo ambalo ni sehemu ya Dodoma.Kwanini naona Kikuyu complex Dodoma?
Haha nice one.... A wunt add anything.. Amesema yoteDodoma will be the biggest capital city in East Africa...?
There's nothing wrong with wishful thinking. As they say, if they were horses, even beggars would ride.
I just don't understand what this thread is doing in the Kenyan section. You clearly were looking for an argument with Kenyans.
So if I may, Dodoma nor any Tanzanian town will never be EA capital. You have been the biggest hindrances to moving forward as a community and you expect things to be handed to you once you change your mind?
The best thing you can get is a headquarters. i.e. a building somewhere in Arusha to accommodate the Presidents when they want to meet for a cup of tea, or some parliament no one cares about. Thereby giving you the illusion of power.
While I don't believe we'll get to a point of having a full political capital for the whole block like Washington is to the US, the economic capital will now and for many years to come be Nairobi.
From some estimates, Nairobi contributes 60% of Kenya's GDP. That's almost the same as the entire GDP of Tanzania.
It is growing faster than any city north of Limpopo.
I've not heard any multi-national set up in Dar or Dodoma. In Kenya, one multi-national leaves, 3 come in.
The kind of highways being put up in Nairobi have never been seen in Tanzania.
Nairobi alone consumes nearly as much cement as the whole of Tanzania.
You're increasing production but consumption is not growing at a similar rate.
Your cement per capita (Cement per person) is 50kg. Kenya's is 100kg.
How is Dodoma then going to be the biggest capital in East Africa.
I don't even think it will be bigger than Isiolo in 20 years.
Cement per Person - Source, Source
Your complicating things. Kwani East Africa inaishia wapi na inaanzia wapi?Na wewe nawe angalia Map vizuri Hizo nchi umetaja ni nchi ambazo ukiangalia kwa map zinaanguka ndani ya East of Africa, Souththern side of Africa na pia zengine ni central part of Africa..... kwahivyo si vigumu sana kuomba kuingia kwa chama kimoja au kingine, Lakini baada ya hizo nchi huko mbele umetoka nje ya East Africa, haiwezekani watake kujuinga na chama cha east na wao ki giographia wako west.... tena ukiangalia hizo nchi ambazo zinaingia hivi karibuni ni nchi ambazo zinapitia majaribio makali ya kisiasa, ama serekali zao ni changa na hazijakomaa kisiasa, bado hawana msimamo kamili wa kimataifa S.Sudan, Burundi, Somalia, DRC zote ziko hivyo, lakini kwa nchi ambazo zimekomaa tayari ni vigumu sana kuingia chama kingine kati ya SADC, EAC... usitarajie nchi kama kina mozambique ama Egypt-eti iwache Arab league ziingie EAC!!!
Ukiangalia Upande wa north of EAC, Ni Somalia, Ethiopia na S.Sudan ndo bado wako ndani ya East, hao wengine wako north........
Ukitaka hizo nchi zengine ziungane basi itabidi tuvunje EAC na tutengeneze chama kingine kama vile COMESA lakini iwe ya kisiasa badala ya biashara,
African Free Trade Zone - Wikipedia
I hate it when you say United Democratic Republic of East Africa.. There will never be oneNHIF Zonal Office, Dodoma The Capital City of The United Democratic Republic of East Africa(UDREA)
Tatizo ni kwamba unamawazo ya mtoto mdogo, mambo ya geopolitics, diplomasia , foreign policy yatakuchanganya... Mada yote hii umeileta kama vile mtoto mdogo ambae anacheza kwa mchanga alafu anachora map na kuamua Dodoma ndo ni Capital.....Your complicating things. Kwani East Africa inaishia wapi na inaanzia wapi?
Tatizo lako ni ufinyu wa mawazo. Hata Dijbout ipo East lakini kwa sasa hawawezi kuwa Member wa EAC. Kwa sababu katikati ipo nchi. Sasa nimekuuliza Congo imeomba uanachama wa EAC je ipo East. Mbona unalalamika ovyo tu.
Nimekuuliza maswali ya maana unakuja kuimba nyimbo na mapambio.
Naona unaweweseka sana. Unaposema nchi zenye serikali changa unamaanisha nini?Tatizo ni kwamba unamawazo ya mtoto mdogo, mambo ya geopolitics, diplomasia , foreign policy yatakuchanganya... Mada yote hii umeileta kama vile mtoto mdogo ambae anacheza kwa mchanga alafu anachora map na kuamua Dodoma ndo ni Capital.....
I am complicating things because in the real world nothing is that simple, EAC tu hapa inatushinda na burundi ,kuunganisha... South Sudan tumeiingiza kabla hata kuhakikisha inafwata vigezo vya kuingia EAC, sasa inatuvuta nyuma tu..Alafu wewe umeshatengeneza your dream capital .
Hebu nipatie majina ya nchi ambazo ziko na maombi ya kuingia SADC au EAC.... Lakini usinipe nchi ambayo serekali ni changa au iko na vitani vya ndani... Nibatie nchi zenye amani na zenye siasa na democrasia ilio komaa...
Yaani kuwa na United Democratic Republic of East Africa unasema siyo jambo la maana!!? Wewe jambo la maana ni lipi?We annael reason kama mtu mzima.. Najua furaha yako ni ukiona comments ni nyingi but hakuna kitu ya maana unaongelea... Kuja na mada za maana acha kuleta orga stories hapa
Ardhi ya Tanzania si nyingi kama unavyodhani, kieneo na idadi ya watu tz na Kenya haitofautiani sana, sema Tanzania ina sera nzuri ya ardhi, si nasikia Kenyata amehodhi ardhi kubwa na ni yake mali yake kabisa?Sasa waona?? Hayo ndio baadhi ya mambo nimeyataja hapo, one of the reasons a United East African nation would not be realized anytime soon. Hatuaminiani.
Sio siri kuna upungufu mkubwa wa ardhi nchini Kenya, na ni kweli wakenya wengi wenye fedha wangetamani sana kupata ardhi huko, kwa vile bei iko cheap na yenye rotuba.
Je, watz wanaweza kubali hili? Kwa miaka nyingi watz wamekuwa na hili dhana ya kuwa....has wakenya, wamekuwa wakipush hili suala la EAC kwa kwa minajili hiyo ikiwemo interests zingine pia fulani, ndiomaana fora very long yime, Tamzania has been hesitamnt to ac accept the agreements passed in the EAC.