Dodoma the future modern capital city in East Africa

Dodoma the future modern capital city in East Africa

The problems of ours is putting a single basket full of everything in one place. I love business and inspired and competitive cities instead of these fictitious and politically driven ones.
 
Ungekua na akili japo kama punje ya uwele ungepita kimya lakini Kwa sababu unazakuvukia barabara tu ukakomenti loh !!!!
mngekua na akili mngesema huu uzi uekwe kule kwa majukwaa ya tz..lakini vile akili nusu kijiko,mnashabikia ujinga usio na kifani,uliowekwa mahali pasipo stahili ndio maana nikaandika ujinga....GIGO
 
mngekua na akili mngesema huu uzi uekwe kule kwa majukwaa ya tz..lakini vile akili nusu kijiko,mnashabikia ujinga usio na kifani,uliowekwa mahali pasipo stahili ndio maana nikaandika ujinga....GIGO
Vipi kijana mbona povu uliitwa huku au ? Kwani hii forum ni yako ? Kama imekuuma sana Meza mwiba
 
Vipi kijana mbona povu uliitwa huku au ? Kwani hii forum ni yako ? Kama imekuuma sana Meza mwiba
mwenye povu nnani apa?kama hamtaki tuwe humu ndani futeni iyo kenya section uone kama mtatukuta hapa tena..
 
mwenye povu nnani apa?kama hamtaki tuwe humu ndani futeni iyo kenya section uone kama mtatukuta hapa tena..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] so sad sio Kwa povu hilo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] so sad sio Kwa povu hilo
yanakuchekesha mwishowe...ukimaliza mwambie uyo mwenzako aiweke hii taarifa kwa jukwaa linalostahili
 
Wa tz mwafaaa!!
IMG-20170505-WA0001.jpg
 
Lakini mmekuwa hamsemekani kuwatrust watu kutoka haya mataifa mengine ya EAC. Mnasema sisi wakenya ni corrupt, wakabila, greedy ati tutakuja kunyakua ardhi yenyu. Pia hamuataki watu kutoka Ug, Burundi na hata Rwanda ati juu watawalimbikizia matatizo yao!
Watu wenye asili tofauti kuungana na kuishi pamoja ni swala bumu sawa tu na kuoa mke, yahitaji sucrifice. Tz ardhi ni mali ya umma entrusted kwa raisi kwa manufaa ya wote, mfano hili tu, hapa mmoja lazima atoke sadaka imani yake, je ni mkenya au mtz? Uhuru wataweza kuiacha ardhi yake ili watz wapewe na wakenya waiimiliki ya Tz? Si jambo la kukurupa.

Tangu hata kabla ya uhuru wa nchi zetu, Tz imekuwa mstari wa mbele kuelekea shirikisho. Ila kuna mapungufu ambayo nadhani bado kufikiwa yanatusumbua mfano hili la ardhi.
 
Ati Dar?
Nilisema Nairobi consumes almost as much as the whole of Tanzania.
Sijapata ripoti inayo single out Nairobi pekee, but if Nairobi contributes 60% of the GDP, it can be assumed that cement consumption is also around that range.
So, if Nairobi consumes about half of Kenya's cement, it consumes nearly as much as the whole of Tanzania.
Kwani Kenya wana kitu walichokizidi Tz kwa asilimia50? Tuanzie kwa GDP kwanza, mi nataka muelewa tu hapa.
 
Watu wenye asili tofauti kuungana na kuishi pamoja ni swala bumu sawa tu na kuoa mke, yahitaji sucrifice. Tz ardhi ni mali ya umma entrusted kwa raisi kwa manufaa ya wote, mfano hili tu, hapa mmoja lazima atoke sadaka imani yake, je ni mkenya au mtz? Uhuru wataweza kuiacha ardhi yake ili watz wapewe na wakenya waiimiliki ya Tz? Si jambo la kukurupa.

Tangu hata kabla ya uhuru wa nchi zetu, Tz imekuwa mstari wa mbele kuelekea shirikisho. Ila kuna mapungufu ambayo nadhani bado kufikiwa yanatusumbua mfano hili la ardhi.
Sasa waona?? Hayo ndio baadhi ya mambo nimeyataja hapo, one of the reasons a United East African nation would not be realized anytime soon. Hatuaminiani.
Sio siri kuna upungufu mkubwa wa ardhi nchini Kenya, na ni kweli wakenya wengi wenye fedha wangetamani sana kupata ardhi huko, kwa vile bei iko cheap na yenye rotuba.
Je, watz wanaweza kubali hili? Kwa miaka nyingi watz wamekuwa na hili dhana ya kuwa....has wakenya, wamekuwa wakipush hili suala la EAC kwa kwa minajili hiyo ikiwemo interests zingine pia fulani, ndiomaana fora very long yime, Tamzania has been hesitamnt to ac accept the agreements passed in the EAC.
 
Sasa waona?? Hayo ndio baadhi ya mambo nimeyataja hapo, one of the reasons a United East African nation would not be realized anytime soon. Hatuaminiani.
Sio siri kuna upungufu mkubwa wa ardhi nchini Kenya, na ni kweli wakenya wengi wenye fedha wangetamani sana kupata ardhi huko, kwa vile bei iko cheap na yenye rotuba.
Je, watz wanaweza kubali hili? Kwa miaka nyingi watz wamekuwa na hili dhana ya kuwa....has wakenya, wamekuwa wakipush hili suala la EAC kwa kwa minajili hiyo ikiwemo interests zingine pia fulani, ndiomaana fora very long yime, Tamzania has been hesitamnt to ac accept the agreements passed in the EAC.
Moja wapo ya jambo la muhimu ni kwamba lazima process zote zipitiwe. Kwa maana political federation ni ya mwisho.
Tatizo wakenya walikuwa wanataka kuleta uhuni na kutaka shortcut before hata economical federation wanataka tuwe na political federation.
Tanzania ilikuwa mstari wa mbele kuelimisha kwamba utaratibu ufuatwe. Mara mnaanzisha CoW kama watoto vile. Sasa hiyo CoW imeishia wapi?
Ni upuuzi upuuzi tu wa wakenya kurukia viyu ovyo ovyo bila kufuata utaratibu.
Wapi sasa hiyo issue ya EPA mlikurupuka tu ku sign bila hata kushirikisha wenzenu na mmejikuta mnajiaibisha.
Sasa hivi EPA iko wapi?
Mnatakiwa mjifunzekufuata utaratibu.
 
Moja wapo ya jambo la muhimu ni kwamba lazima process zote zipitiwe. Kwa maana political federation ni ya mwisho.
Tatizo wakenya walikuwa wanataka kuleta uhuni na kutaka shortcut before hata economical federation wanataka tuwe na political federation.
Tanzania ilikuwa mstari wa mbele kuelimisha kwamba utaratibu ufuatwe. Mara mnaanzisha CoW kama watoto vile. Sasa hiyo CoW imeishia wapi?
Ni upuuzi upuuzi tu wa wakenya kurukia viyu ovyo ovyo bila kufuata utaratibu.
Wapi sasa hiyo issue ya EPA mlikurupuka tu ku sign bila hata kushirikisha wenzenu na mmejikuta mnajiaibisha.
Sasa hivi EPA iko wapi?
Mnatakiwa mjifunzekufuata utaratibu.
Kenya has never advocated for a political federation. Its position on this matter has never changed one bit, since the 60s when it rejected the clarion call by men like Nkrumah for a united state of Africa- that earned the country and its leaders scathing condemnation frm the Pan-Africanists of that era, and Kenya viewed Gaddafi's similar ideas with some disdain. Kenya rejected Mr. Nyerere's push for a united east Affrica.
Hiyo mambo ya political federation of East Africa muulize Museveni.

And do be honest. Your suspicion and fear of Kenya did not stem from the fact that Kenyans ni wahuni. You guys were afraid that Kenya was poised to benefit more than its other neighbours from the newly established EAC, just like it had in the first EAC, u resorted to frustrating it.
 
Wapi sasa hiyo issue ya EPA mlikurupuka tu ku sign bila hata kushirikisha wenzenu na mmejikuta mnajiaibisha.
Sasa hivi EPA iko wapi?
Mnatakiwa mjifunzekufuata utaratibu.
Ni wivu yenyu dhidi ya Kenya ndio maana mlipinga EPA. Otherwise if u are really sincere about concern that that deal wld disrupt your fledgling industries , then u shld as well curtail the Chinese unfettered access to your market, flooding your country with cheap goods that have in effect killed your production industry.
This EPA deeal is not disimilar from our trading arrangements wuth China, except that no import taxes will be imposed on our goods destined for the EU.

If Kenya was out of the picture, I am certain Tanzania would have gladly accepted that EPA trade pact, but since it is engaged in a trade war with Kenya.....
 
Ni wivu yenyu dhidi ya Kenya ndio maana mlipinga EPA. Otherwise if u are really sincere about concern that that deal wld disrupt your fledgling industries , then u shld as well curtail the Chinese unfettered access to your market, flooding your country with cheap goods that have in effect killed your production industry.
This EPA deeal is not disimilar from our trading arrangements wuth China, except that no import taxes will be imposed on our goods destined for the EU.

If Kenya was out of the picture, I am certain Tanzania would have gladly accepted that EPA trade pact, but since it is engaged in a trade war with Kenya.....
So do you see now how powerful is Tanzania. All decisions for the benefit of EA depend on Tanzania.
Umezunguka na kutoa maelezo meengi umerudi pale pale kwamba Tanzania is your boss.
1. Where is CoW? Mlitaka kufanya uhuni.
2. Vipi kuhusu mapato ya common visa. Now Uganda and Rwanda complaining.
3. How about EPA!?
4. How abut Amina Mohamed to chair AU council? Where is she?
5. Kuna wakati mlikataza gari za Tanzania kuja kuchukua watalii wetu. Mliishia wapi?

Yaani tuliwaacha kwamba tuwe na shirika la ndege moja EA lakini nyodo nyingi na kutaka kujipatia mapato ya ziada yenye lengo la kujitajirisha ninyi pekee kana kwamba nchi zingine haziwezi kununu ndege.

You guys, you have to learn how to live with the community. Siyo tabia zenu za kibaguzi baguzi.

Once you're in, you're in. Hamuwezi kujiondoa. Ngoja tuwadunge sindano mpaka mtapata elimu ya uraia na kujua yapi ya kufanya.
 
Kenya has never advocated for a political federation. Its position on this matter has never changed one bit, since the 60s when it rejected the clarion call by men like Nkrumah for a united state of Africa- that earned the country and its leaders scathing condemnation frm the Pan-Africanists of that era, and Kenya viewed Gaddafi's similar ideas with some disdain. Kenya rejected Mr. Nyerere's push for a united east Affrica.
Hiyo mambo ya political federation of East Africa muulize Museveni.

And do be honest. Your suspicion and fear of Kenya did not stem from the fact that Kenyans ni wahuni. You guys were afraid that Kenya was poised to benefit more than its other neighbours from the newly established EAC, just like it had in the first EAC, u resorted to frustrating it.
By the way. Si ndio nyie mlikuwa mnalia kia kwamba tuwe na jeshi moja!? Kwamba nchi moja ikivamiwa tunashirikiana? Au umesahau!? Na au hufuatilii masuala ya EAC?
Mlikuwa mnalia lia kwamba tuwe na jeshi moja. Sasa hiyo hujui ipo kwenye political federation?
Au mwenzetu wewe tukiongea political federation unadhani ni kufanya uchaguzi wa kiongozi mmoja tu?

Vilevile kufikia katika real political federation kuna hatua kadha wa kadha lazima zipitiwe.
Nimekueleza kwamba mfano wa union ulishaoneshwa na TZ kwahiyo haina ubishi lazima mjifunze toka Tz.

Jambo la pili. Mlikimbilia kuwa na katiba mpya. Sasa hivi imegeuka kuwa shubiri kwenu. Katika haitekelezeki. Mnatakiwa kufanya research kwanza kabla ya kufanya mambo ona sasa kila kitu mnaangukia pua.
 
Back
Top Bottom