Dodoma: TRA yatoa elimu ya Kodi ya zuio Kwa taasisi za Umma

Dodoma: TRA yatoa elimu ya Kodi ya zuio Kwa taasisi za Umma

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
ltd Dodoma.jpg
Mamlaka ya Mapato Tanzania imetoa semina kuhusu kodi ya zuio kwa Taasisi za Umma leo tarehe 5/12/2024 Dodoma. Semina hiyo iliongozwa na Naibu Kamishna wa Huduma za Kiufundi kutoka idara ya Walipakodi Wakubwa (DCTS) Bw. Gabriel Kimweri.
ltd dodoma  4.jpg

ltd dodoma 3.jpg
 
Back
Top Bottom