Dodoma: TRA yatoa elimu ya Kodi ya zuio Kwa taasisi za Umma

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
Mamlaka ya Mapato Tanzania imetoa semina kuhusu kodi ya zuio kwa Taasisi za Umma leo tarehe 5/12/2024 Dodoma. Semina hiyo iliongozwa na Naibu Kamishna wa Huduma za Kiufundi kutoka idara ya Walipakodi Wakubwa (DCTS) Bw. Gabriel Kimweri.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…