babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Inauma mwananchi kudhulumiwa maeneo aliyoyaendeleza kabla ya uhuru
Inashangaza maeneo ya Msalato, Kiterela watu waliokuwa wanamiliki mashamba ya asili kuporwa kwa kisingizio cha upangwaji Jijji.
Mbona MZEE Magufuli eneo alilopitisha SGR Mtumba na alipojenga Mji wa Serikali aliwalipa pesa bila kukata%30? Iweje huku tuonewe?
Jiji lielewe suala la ardhi halina uficho haki itakuja kuonekana hata kizazi cha tatu
Akitokea kuwafumbua Wagogo wanavyodhulumiwa ardhi patachimbika
Mbona Wachagga Kiborolonihawanyanganywi ardhi kijinga?
Inashangaza maeneo ya Msalato, Kiterela watu waliokuwa wanamiliki mashamba ya asili kuporwa kwa kisingizio cha upangwaji Jijji.
Mbona MZEE Magufuli eneo alilopitisha SGR Mtumba na alipojenga Mji wa Serikali aliwalipa pesa bila kukata%30? Iweje huku tuonewe?
Jiji lielewe suala la ardhi halina uficho haki itakuja kuonekana hata kizazi cha tatu
Akitokea kuwafumbua Wagogo wanavyodhulumiwa ardhi patachimbika
Mbona Wachagga Kiborolonihawanyanganywi ardhi kijinga?