Dodoma vs Thika

Dodoma vs Thika

thika greens golf estate

634637112752290000_newgolf.jpg

maxresdefault.jpg
 
[HASHTAG]#justiceforLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenakiwahai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxeceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#justiceforLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenakiwahai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxeceMelo[/HASHTAG]
 
Achana na Wikipedia kijana...
Dar, mwanza, Arusha,Mbeya,Tanga, Morogoro, Dodoma, Moshi nk. .....tuulize sisi tunaoifahamu iyo miji vizuri Wikipedia kitu gani
Si ajabu hata hapo Namanga tu hujawahi kufika ila kwa kuwa unajificha nyuma ya keyboard basi unajiona kila kitu unajua. Na unaweza kulinganisha chochote kinachokujia kichwani mwako

Hiyo mijengo ya UDOM unayojaza hapa ipo tu kama flat za nchi za kikomunist hazina chochote cha kuvutia architecturally.
 
Hata ungekuwa unajua kama mungu. Dodoma haifikii Thika. Thika iko miaka 100 mbele ya dodoma. Labda kama mnaishinda kwa kufyatua wanadamu.
Unajua mda mwingne mnakera sana nyie ...picha zote izo ni udom?
Mkishindwa mnalazimisha ushindi ....ushindi sio kirahisi apa....thika ni another joke utamdanganya nani picha zimesadifu?picha hazidanganyi....ndio dodoma sio jiji ni municipal!! Lakini mziki wake umeuona
 
Unajua mda mwingne mnakera sana nyie ...picha zote izo ni udom?
Mkishindwa mnalazimisha ushindi ....ushindi sio kirahisi apa....thika ni another joke utamdanganya nani picha zimesadifu?picha hazidanganyi....ndio dodoma sio jiji ni municipal!! Lakini mziki wake umeuona

Idiot..hv hiyo dodoma kuna nini cha maana zaidi ya vumbi?
 
Back
Top Bottom