Dodoma watengenezewe beach artificial

Dodoma watengenezewe beach artificial

Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu.

Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi ili kuongeza ajira na uwekezaji hapo Dodoma..inawezekana kabisa ma
Dodoma yenyewe maji ya kunywa bado ni shida, mnazungumzia bwawa la srarehe! Hebu tutumie akili kidogo
 
Back
Top Bottom