Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Watuhumiwa wawili wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mtoto wa Graison Kanyenye (6) wamefikishwa mahakamani jijini Dodoma leo Jumatatu, Desemba 30,2024.
Soma, Pia: Dodoma: Mtoto wa miaka 6 auawa kikatili na watu wasiojulikana
Mpaka sasa bado haijajulikana kesi hiyo itasomwa katika mahakama gani.
Graison, mtoto wa mfanyabiashara maarufu jijini hapa, Zainab Zengo maarufu 'Jojo' anadaiwa kuuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani wakati mama yake akiwa matembezini usiku wa kuamkia Desemba 25, 2024.
Watuhumiwa waliotajwa ni Kelvin Gilbert, dereva bodaboda, na Tumaini Msangi, ambaye ni bondia.
Soma, Pia: Dodoma: Mtoto wa miaka 6 auawa kikatili na watu wasiojulikana
Mpaka sasa bado haijajulikana kesi hiyo itasomwa katika mahakama gani.
Graison, mtoto wa mfanyabiashara maarufu jijini hapa, Zainab Zengo maarufu 'Jojo' anadaiwa kuuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani wakati mama yake akiwa matembezini usiku wa kuamkia Desemba 25, 2024.
Watuhumiwa waliotajwa ni Kelvin Gilbert, dereva bodaboda, na Tumaini Msangi, ambaye ni bondia.