Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Umewaza nje ya boxNdiyo hayo ya lugumi anawakusanya watoto yatima na kuwajengea akiwaua kwa kafara hakuna atakayejua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza nje ya boxNdiyo hayo ya lugumi anawakusanya watoto yatima na kuwajengea akiwaua kwa kafara hakuna atakayejua
Kwanini huyu hajakamatwa???? Hii takataka ndio ilitakiwa iwe ya kwanza kukamatwa
Hili jambenga mbona hawajalikamata
Umeshiba MAKANDE UNAROPOKA TU , usiwachukulie poa polisi hasa wakiamua kumpata mtu waoUkichunguza kwa haraka haraka utagundua kwamba mkasa huu unahusiana na masuala ya Paternity Fraud.
Yawezekana huyo bodaboda na huyo mtuhumiwa mwingine watakuwa wameangushiwa jumba bovu tu huku Wahusika halisi wakiwa wapo huru uraiani.
Jeshi la Polisi Tz kwa kuwa liko completely incompetent, endapo kama lingekuwa competent enough Basi mpaka sasa mkasa huu ungekuwa tayari limeupatia suluhisho la uhakika la kisayansi kiasi kwamba Water tight evidences ungekuwa umeshapatikana, na watuhumiwa wasingekuwa na namna yoyote ile ya kuweza kukwepa kuwajibishwa kisheria kwa sababu Ushahidi uliopo ungekuwa umewabana Moja kwa moja.
Huyu jamaa mwenye pua kama kitako cha baiskeli nae ashikwe,kwani alikuwa anamfundisha mtoto maadili mabovu!!!,,,huko alikokuwa akielekea ANGE-MPIDIDDY!!!
Polis wa wapi hao? Wa Tanzania hii hii au Polisi wa nchi nyingine?Umeshiba MAKANDE UNAROPOKA TU , usiwachukulie poa polisi hasa wakiamua kumpata mtu wao
Kuminya pumbu ndio njia pekee inayotumiwa na polisi kupata ushahidi.Ukichunguza kwa haraka haraka utagundua kwamba mkasa huu unahusiana na masuala ya Paternity Fraud.
Yawezekana huyo bodaboda na huyo mtuhumiwa mwingine watakuwa wameangushiwa jumba bovu tu huku Wahusika halisi wakiwa wapo huru uraiani.
Jeshi la Polisi Tz kwa kuwa liko completely incompetent, endapo kama lingekuwa competent enough Basi mpaka sasa mkasa huu ungekuwa tayari limeupatia suluhisho la uhakika la kisayansi kiasi kwamba Water tight evidences ungekuwa umeshapatikana, na watuhumiwa wasingekuwa na namna yoyote ile ya kuweza kukwepa kuwajibishwa kisheria kwa sababu Ushahidi uliopo ungekuwa umewabana Moja kwa moja.
Labda biashara yake ya kudanga TRA wanaitambua.Mama mtoto anatajwa kama mfanyabiashara maarufu mjini Dodoma. Kwa biashara gani?
Hawa waandishi mbona wanaleta mazoea kwenye biashara, mtu anadanga ghafla mara anaitwa mfanyabiashara tena maarufu, tena jijini kabisa bora ingekuwa kijijini.
Bad method of interrogation.Kuminya pumbu ndio njia pekee inayotumiwa na polisi kupata ushahidi.