Dodoma: Watuhumiwa mauaji ya mtoto Graison wafikishwa mahakamani

Dodoma: Watuhumiwa mauaji ya mtoto Graison wafikishwa mahakamani

Ukichunguza kwa haraka haraka utagundua kwamba mkasa huu unahusiana na masuala ya Paternity Fraud.
Yawezekana huyo bodaboda na huyo mtuhumiwa mwingine watakuwa wameangushiwa jumba bovu tu huku Wahusika halisi wakiwa wapo huru uraiani.

Jeshi la Polisi Tz kwa kuwa liko completely incompetent, endapo kama lingekuwa competent enough Basi mpaka sasa mkasa huu ungekuwa tayari limeupatia suluhisho la uhakika la kisayansi kiasi kwamba Water tight evidences ungekuwa umeshapatikana, na watuhumiwa wasingekuwa na namna yoyote ile ya kuweza kukwepa kuwajibishwa kisheria kwa sababu Ushahidi uliopo ungekuwa umewabana Moja kwa moja.
Umeshiba MAKANDE UNAROPOKA TU , usiwachukulie poa polisi hasa wakiamua kumpata mtu wao
 
Ukichunguza kwa haraka haraka utagundua kwamba mkasa huu unahusiana na masuala ya Paternity Fraud.
Yawezekana huyo bodaboda na huyo mtuhumiwa mwingine watakuwa wameangushiwa jumba bovu tu huku Wahusika halisi wakiwa wapo huru uraiani.

Jeshi la Polisi Tz kwa kuwa liko completely incompetent, endapo kama lingekuwa competent enough Basi mpaka sasa mkasa huu ungekuwa tayari limeupatia suluhisho la uhakika la kisayansi kiasi kwamba Water tight evidences ungekuwa umeshapatikana, na watuhumiwa wasingekuwa na namna yoyote ile ya kuweza kukwepa kuwajibishwa kisheria kwa sababu Ushahidi uliopo ungekuwa umewabana Moja kwa moja.
Kuminya pumbu ndio njia pekee inayotumiwa na polisi kupata ushahidi.
 
Mama mtoto anatajwa kama mfanyabiashara maarufu mjini Dodoma. Kwa biashara gani?

Hawa waandishi mbona wanaleta mazoea kwenye biashara, mtu anadanga ghafla mara anaitwa mfanyabiashara tena maarufu, tena jijini kabisa bora ingekuwa kijijini.
Labda biashara yake ya kudanga TRA wanaitambua.
 
Kuminya pumbu ndio njia pekee inayotumiwa na polisi kupata ushahidi.
Bad method of interrogation.

Polisi wa Tanzania bado wapo kwenye enzi za ujima katika kupata Ushahidi wa matukio kama haya. Endapo kama Sayansi ingetumika kwenye suala hili, mpaka Sasa kila kitu kingekuwa tayari kimejulikana kwa uhakika.
 
Back
Top Bottom