Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

Wewe nawe unabisha ilimradi uonekane unabisha ...unapewa facts zote na bado unaendelea kubishana πŸ˜€πŸ˜€.
Ni hivi makao makuu ya Nigeria yalikua Lagos hadi mwaka 1991 walipohamishia Abuja katikati ya Nigeria(kama ilivyo kwa Dom katikati ya nchi).Dodoma ilipewa status ya makao makuu tangu mwaka 1974 na ikawekwa chini ya CDA.Kwahiyo utaona hapo sababu za kuhamisha makao makuu kutoka jiji la kibiashara kwenda katikati ya nchi zinafanana kote kwa Nigeria na Tanzania ndiomana Nigeria walikuja Dodoma kucopy master plan na kujifunza namna ya uendelezaji makao makuu kutokana na uzoefu wa CDA iliyokua na zaidi ya miaka 16 tangu ianzishwe kwa mudahuo ambao Abuja ilitangazwa kuwa makao makuu.
Na hii ni kawaida sana kwa nchi kwenda kujifunza nchi nyingine kwenye eneo fulani na kucopy idea za huko.....ndiomana hata hapo Rwanda tu jirani wamecopy na kupaste baadhi ya sera za Tanzania kwenye huduma za kijamii n.k
mkuu narudia kwa mara ya mwisho acha story za vijiweni..umewahi kufika Abuja?inafanana na design ya dom?.kama hujafika angalia basi hata YouTube uje useme hiyo design inafanana na dom katika mambo yapi....maana sikuona kinachofanana na dom kuanzia barabara hadi hizo huduma.
 
mkuu narudia kwa mara ya mwisho acha story za vijiweni..umewahi kufika Abuja?inafanana na design ya dom?.kama hujafika angalia basi hata YouTube uje useme hiyo design inafanana na dom katika mambo yapi....maana sikuona kinachofanana na dom kuanzia barabara hadi hizo huduma.
Nenda kabishane facebook humu JF hupawezi aisee manake unapewa facts wewe unaleta porojo na chuki zako kwa Dom.
Ungekua na akili ungegoogle tu ni mwakagani makao makuu ya Nigeria yalihamishwa kutoka Lagos kwenda Abuja.
Abuja ilipewa hadhi ya makao makuu ya Nigeria tangu mwaka 1991...Je unajua uchumi wa Nigeria ulikuaje kwa kipindi hicho cha mwaka 1991.
 
Nenda kabishane facebook humu JF hupawezi aisee manake unapewa facts wewe unaleta porojo na chuki zako kwa Dom.
Ungekua na akili ungegoogle tu ni mwakagani makao makuu ya Nigeria yalihamishwa kutoka Lagos kwenda Abuja.
Abuja ilipewa hadhi ya makao makuu ya Nigeria tangu mwaka 1991...Je unajua uchumi wa Nigeria ulikuaje kwa kipindi hicho cha mwaka 1991.
Facts gani?! Yani Abuja waache kuchukua structures za miji kama Vienna,Cairo, Johannesburg waje waige ramani za dodoma?
 
Facts gani?! Yani Abuja waache kuchukua structures za miji kama Vienna,Cairo, Johannesburg waje waige ramani za dodoma?
Wangeweza hata kuiga city master plan ya hapohapo kwao Lagos lakini walikuja Dodoma kujifunza na kuiga kwasababu factors zilizofanya wahamishe makao makuu kutoka Jiji la kibiashara Lagos kwenda katikati ya nchi Abuja mwaka 1991 zinafanana na sababu za kuhamisha makao makuu Tanzania kutoka Dar kwenda Dodoma na kuanzishwa kwa CDA tangu mwaka 1974.
 
Bado natafuta mwalimu wa kufundisha courses za computer kama vile word excel PowerPoint publisher adobe acrobat chatgpt windows operating system etc.kama una hiyo skillset usisite kunicheki
Nikucheki hata kama sina vyeti zaidi ya ujuzi?
 
Jiji la Abuja huko Nigeria..

Ramani ya Mji huu inasadikika ilichukuliwa kwenye ramani ya Ujenzi wa Mji mkuu wa Tanzania-Dodoma lakini wakati CDA wakibaki na makaratasi tu miaka nenda rudi mpaka Magufuli alipokuja kuivunja CDA, Nigeria wao walioomba hii Ramani na kuifanyia kazi Taifa ambalo lilikumbwa na migogoro ya wenyewe kwa wenyewe,Mapinduzi ya Kijeshi ya Mara kwa mara, na changamoto chungumzima lakin ndio Taifa lenye Uchumi mkubwa zaidi Afrika.

Nigeria inasifiwa kwakua uchumi wake haukuhusisha watu weupe kama ilovyo Afrika Kusini,Bali maendeleo yote ya Nigeria yametokana na wao wenyewe (weusi)

Hii ndio sababu inayowaponza kwani mataifa ya Magharibi yanaumia kuona taifa ambalo halina mkoko wa Mzungu inakuaje liwe na Uchumi mkubwa kuizidi Afrika Kusini ambayo Uchumi wake umekolezwa ,zadi na uwepo wa Makaburu wazungu wahamiaji kutoka Uholanzi kabla ya Ukoloni?

Makaburu waliopo Afrika Kusini ni zao la wazungu ambao walitoka Uholanzi karne nyingi kwa nia ya kwenda India kutafuta maisha kwa kuzunguka bara la Afrika kupitia Kusini lakini walipofika Afrika Kusini wakaona walichokuwa wanakifata India kipo pale wakapiga kambi na kulowea hapo,

Hata ilipofika kipindi cha Ukoloni Waingereza walipofika pale wakawakuta watu weupe na iliwapa ugumu sana kuitawala Afrika Kusini kwakua wale weupe hawakukubali kirahisi ndipo Waingereza wakawahadaa waafrika kuwa waholanzi wale wanawanyonya wao wamekuja kuwasaidia ndipo walipowashinda makaburu kwa kushirikiana na mtu mweusi, jambo hilo liliongeza chuki kwa Waholanzi kwani awali waliishi na wenyeji vizuri lakini wakagombanishwa ndipo uhasama ukaanza ,hata baada ya Uhuru Makaburu waliposhika nchi wakaendeleza visasi ndipo Waafrika walipokoma sasa kichaa kapewa rungu.

Makaburu wakatengwa na Ulimwengu kwa kuwanyanyasa weusi (wenyeji) kama Ilivyo Irani na Korea Kaskazini,ukitengwa unajitahidi ujitegemee kwa kila kitu,wakaanza kutengeneza Uchumi wao makaburu ili wawe imara wasitishwe au kuvamiwa wakaunda mpaka silaha za nyuklia,
Asante kwa historia nimeingiza kaelimu kidogo
 
K
Jiji la Abuja huko Nigeria..

Ramani ya Mji huu inasadikika ilichukuliwa kwenye ramani ya Ujenzi wa Mji mkuu wa Tanzania-Dodoma lakini wakati CDA wakibaki na makaratasi tu miaka nenda rudi mpaka Magufuli alipokuja kuivunja CDA, Nigeria wao walioomba hii Ramani na kuifanyia kazi Taifa ambalo lilikumbwa na migogoro ya wenyewe kwa wenyewe,Mapinduzi ya Kijeshi ya Mara kwa mara, na changamoto chungumzima lakin ndio Taifa lenye Uchumi mkubwa zaidi Afrika.

Nigeria inasifiwa kwakua uchumi wake haukuhusisha watu weupe kama ilovyo Afrika Kusini,Bali maendeleo yote ya Nigeria yametokana na wao wenyewe (weusi)

Hii ndio sababu inayowaponza kwani mataifa ya Magharibi yanaumia kuona taifa ambalo halina mkoko wa Mzungu inakuaje liwe na Uchumi mkubwa kuizidi Afrika Kusini ambayo Uchumi wake umekolezwa ,zadi na uwepo wa Makaburu wazungu wahamiaji kutoka Uholanzi kabla ya Ukoloni?

Makaburu waliopo Afrika Kusini ni zao la wazungu ambao walitoka Uholanzi karne nyingi kwa nia ya kwenda India kutafuta maisha kwa kuzunguka bara la Afrika kupitia Kusini lakini walipofika Afrika Kusini wakaona walichokuwa wanakifata India kipo pale wakapiga kambi na kulowea hapo,

Hata ilipofika kipindi cha Ukoloni Waingereza walipofika pale wakawakuta watu weupe na iliwapa ugumu sana kuitawala Afrika Kusini kwakua wale weupe hawakukubali kirahisi ndipo Waingereza wakawahadaa waafrika kuwa waholanzi wale wanawanyonya wao wamekuja kuwasaidia ndipo walipowashinda makaburu kwa kushirikiana na mtu mweusi, jambo hilo liliongeza chuki kwa Waholanzi kwani awali waliishi na wenyeji vizuri lakini wakagombanishwa ndipo uhasama ukaanza ,hata baada ya Uhuru Makaburu waliposhika nchi wakaendeleza visasi ndipo Waafrika walipokoma sasa kichaa kapewa rungu.

Makaburu wakatengwa na Ulimwengu kwa kuwanyanyasa weusi (wenyeji) kama Ilivyo Irani na Korea Kaskazini,ukitengwa unajitahidi ujitegemee kwa kila kitu,wakaanza kutengeneza Uchumi wao makaburu ili wawe imara wasitishwe au kuvamiwa wakaunda mpaka silaha za nyuklia,
Kusema mpaka Magufuli alipokuja ni uongo ila Magufuli alitia msukumo zaidi

Ujenzi wa Bunge,Udom, Benjamin Mkapa Hospital na mipango Miji Ilianza kitambo tuu kabla ya Mwendazake.

Ila Mwendazake alitia msukumo na kuwasha taa na gari ndio imekolea Hadi Leo.Kwa issue ya Dom apewe maua yake.
 
Back
Top Bottom