Does anyone has an idea about getting a phone call from international codes?

Mbona kawaida sana hiyo. Na moja ya juu umesha andikiwa ni Congo kinshasa ya chini andika Google itakwambia ni Code ya wapi..

Anyways sema shida yako ni nini hapo labda?
Kufahamu the reason why afu ni missed call naona yaaani simu inaita kwa sekunde 1 then inakata , isije kuwa wasiojulikana wananitafuta....
 
Kufahamu the reason why afu ni missed call naona yaaani simu inaita kwa sekunde 1 then inakata , isije kuwa wasiojulikana wananitafuta....
Yani hata mimi huwa napata simu kama hizi zina code za rwanda na burundi. Na huwa nikicall naambiwa hizo namba hazipo
 
Ahaa basi nimejua ni scam phone call
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…