Does science crush the whole idea of "religious' doom's day" ??

Does science crush the whole idea of "religious' doom's day" ??

Mimi natoka nje ya mada kidogo!
kutokana na maelezo mazuri na yanayoeleweka Je, hauoni kama muda umefika sasa wa kufundisha kwa Kiswahili kuanzia Chekechea mpaka Chuo Kikuu? kwa maana watu wengi wamekuwa wakipinga kwamba hilo haliwezekani kwa sababu ya udahifu wa Lugha yetu, mbona wewe umeweza kulezea mambo ya kisayansi kwa Kiswahili na umeeleweka? tatizo liko wapi?
kiswahili hakina mashiko wewe.usiamini wanasiasa waongo. ukweli ni kuwa wakubwa wanawasomesha watoto wao intaneshino na ng'ambo, lengo likiwa wajue lugha za kigeni ikiwemo kiingereza.mahakama zetu mpaka leeo hazijafanikiwa kuondoa kingereza kwenye sheia zao, katika dunia ya utandawazi ''bilingual'' wanahitajika sana.kiswahili hakina exposer ya kumfanya mtu aweze kupata knowlegde ya kutosha ya vitabuni, ukichukulia wenzetu wameshaandika mengi katika lugha zao kuliko sisi. pia kuna mazingira mfano ya kitaaluma somo la baiolojia kuna maneno kwenye picha hasa za viungo vya uzazi vya binadamu inakuwa sio rahisi kutumia kiswahili ni kama kutukana, na kiutamaduni hajazoeleka lakini ukitumia kingereza inapunguza makali.peleka totoo ako ulaya veve ajue kiinglishhh aje kula bata maishani
 
Mkuu, kidogo nkukosoe hapo kwenye watu wanaotafsiri literally. Sio wote kabisa. Kwa mfano katika uislam kuna dhehebu moja la kiibadhi (ibadhism) hawa jamaa wana dig deep katika "Quran", wanaitumia quran yenyewe kujitafsiri panapohitajika, wanakuchambulia neno kwa neno. Hebu siku moja usione tabu nenda msikiti wa ibadhi (Ilala au Kitumbini kama upo dar) omba upatiwe mtu mwenye elimu, kisha muulize maswali mawili matatu kuhusu akhera/dunia atakupa elimu, sio lazima usilimu kama hutaki lakini angalau upate elimu, uone kuwa kuna watu wana dig deep katika vitabu takatifu na kuna watu wanachukulia vitu easy easy tu. Tena uzuri wa hawa jamaa ni kuwa sio tu wanatumia hoja za kidini, bali wanatumia akili pia katika kukufanya uelewe jambo. Maana kuna masheikh wengine wao ukiwafuata ukiwaambia mbona jambo fulani hivi, anakukafirisha apo apo, hataki uhoji, lakini hawa maibadhi watakuruhusu kutumia akili yako ili waone umeelewa nini na watatumia akili ili kukuelewesha hoja ya dini ama amri ya dini!
mkuu nakubaliana na wewe japo ni budi tukubali kuwa kila hoja inaweza kuwa na exceptional kama ambayo umeieleza hapa kwenye thread yako lakini haiondoi overall situation ilivyo
 
uchunguzi mdogo nilioufanya unaonyesha dunia inaweza kubeba watu hadi bilioni 50 tu, pia hali ya sasa inaonyesha pamoja na kuwepo kwa vita, magonjwa, matetemeko, ttsunami, katrina, tornado,na ajali mbalimbali na majanga mengineyo yanayoendelea kutokea duniani bado hali ya idadi ya watu duniani hajaacha kuongezeka (exponetial increase). na hii ni dalili kuwa watu wanaweza kuzidi carrying capacity ya dunia. hofu ya kukosa maji ya kunywa inazidi kuongezeka, joto na chakula cha kulisha duniani inazidi pia kuongezeka. pia sayansi imegundua kuna uwezekano wa kuwepo dunia nyingine yenye solar sytem yake na sayari, kwakuwa universe inaonyesha ni kubwa na haina mwisho. jual letu linadaiwa kupungua na kuna siku litakufa, solar sytem yetu inahofiwa kumezwa kwenye blackhole, pia probability ya majabali kutoka kwenye space kupiga duniani na kuionda kwenye mzunguko wake (milky way). ukichunguza haya inaonyesha bila kugusia dini yoyote kuna uwezekano wa dunia kufika mwisho. hata mpagani anahitaji kuamini hili, kama sio supermassive blackhole na object kupiga duniani basi hata population explosion inaweza kutuangamiza(irrespective population increase ina-trigger technology development). tofauti na haya ambayo yanaweza yakamshawishi mtu kuona mwisho wa dunia uko mbali, dini zetu zinaweza kumfanya mtu kuona mwisho wa dunia upo karibu hata leo ama kesho, na kuongeza hofu n.k. na ndio sababu ya watu wengi wamekuwa wakiendelea kutapeliwa na manabii feki wanaotabiri wakidai wameambiwa na mungu siku ya mwisho wa dunia.
.
 
kiswahili hakina mashiko wewe.usiamini wanasiasa waongo. ukweli ni kuwa wakubwa wanawasomesha watoto wao intaneshino na ng'ambo, lengo likiwa wajue lugha za kigeni ikiwemo kiingereza.mahakama zetu mpaka leeo hazijafanikiwa kuondoa kingereza kwenye sheia zao, katika dunia ya utandawazi ''bilingual'' wanahitajika sana.kiswahili hakina exposer ya kumfanya mtu aweze kupata knowlegde ya kutosha ya vitabuni, ukichukulia wenzetu wameshaandika mengi katika lugha zao kuliko sisi. pia kuna mazingira mfano ya kitaaluma somo la baiolojia kuna maneno kwenye picha hasa za viungo vya uzazi vya binadamu inakuwa sio rahisi kutumia kiswahili ni kama kutukana, na kiutamaduni hajazoeleka lakini ukitumia kingereza inapunguza makali.peleka totoo ako ulaya veve ajue kiinglishhh aje kula bata maishani

Mbona swali sijakuuliza wewe lkn unakimbilia kujibu? Ningetaka jibu lako ningekuuliza wewe, lkn najua kwa nini sijafanya hivyo!
 
science without religion is lame, religion without science is blind
 
Mbona swali sijakuuliza wewe lkn unakimbilia kujibu? Ningetaka jibu lako ningekuuliza wewe, lkn najua kwa nini sijafanya hivyo!
em jipange upya wewe kijakazi.
PENYE RED, ACHA MAFUMBO, STRAIGHT UP..
kuwa makini. SIJAKIMBILIA KUKUJIBU TU, swali umeULIZA KUPITIA THREAD YANGU, NIKAKUJIBU NA SIO ''KUKIMBILIA KUKUJIBU''. NO DOUBT.
 
Back
Top Bottom