Dogo akaja mikono mitupu!

Kumbeeee.............. Nilikuwa nanusa harufu ya utambuzi kwenye michango yako humu. Aisee, waswahili wa Pemba hujuana kwa Vilemba.....................Nilikuwa najiuliza kama wewe si mmoja wa wadau?
Kwa kweli inabidi turudishe ule utambuzi maana nahisi sasa litakuwa na mwitikio mkubwa kwani wakati ule wadau wengi walikuwa wanalipotezea, si unajua Wa-TZ tunapenda UDAKU kuliko makala zenye kuelimisha!
Tupo pamoja mkuu, tutaendelea kuwasiliana kwa kila hatua ya kurejesha gazeti hilo.
 
mi nina kopi zake kama 20 hivi ninazo na huwa ninapitiapitia hizo nakala for reference

aise lile gazeti, sitalisahau, lkn niliona kwa kadiri siku zilivyokuwa zinaenda lilianza kupoteza ladha. Mku kama mnalirudisha zingatia mlivyoanza, lilikuwa supa. Naikumbuka ile hadithi ya Msukule, nikafuatilia mpaka mwisho, dooo! kumbe jamaa alikuwa naota, aise mlifunika
 
nina wasiwasi kama hela ya bia hukua nayo hayo mambo yaliishaje kimya kimya mmh
 
unanikumbusha enzi za gazeti la JITAMBUE la marehemu mzee Munga Tehenan. Kulikuwa na makala inasema 'Nilivyofedheheka'
 
unanikumbusha enzi za gazeti la JITAMBUE la marehemu mzee Munga Tehenan. Kulikuwa na makala inasema 'Nilivyofedheheka'
Kumbe hata wewe uliwahi kufedheheka.......................................LOL
 
Mtambuzi huu uzi ni mzuri ila syo kisa chako.Naomba ukiri mbele ya wana JF kabla cjakurushia madongo.Kiri ulipoutoa mana nakumbuka nshawah kusoma stori hii.Ukipindisha maneno tu protokali inafata.Nakusubiri ukiri.Mwenzako mie nkikot mahal huwa nakiri jamvini.Na wewe fanya hvo mkuu
 
Kumbe hata wewe uliwahi kufedheheka.......................................LOL

katika maisha hakuna ambaye hajawahi kufedheheka. Hicho nilichosema hakinihusu mimi bali kulikuwa na ukurasa kwenye hilo gazeti wenye stori kama yako. Hata taito za stori zenyewe zilikuwa katika muundo uliotumia
 

Naomba tupeane taarifa ya hilo gazeti maana hata mimi nlikuwa msomaji wake maarufu sana nlikuwa na copy nyingi sana za Jitambue na Mshauri wako lakini bahati mbaya niliziacha home hivi nipo ng'ambo miaka kibao,ikiwa mtalirudisha hewani tujuzane,munga alikuwa ni zaidi ya mshauri!
 
Count me in kiongozi!
 

mizaha, masengenyo na uongo ni dhambi, na waongo wote sehemu yao ni katika ziwa liwakalo moto kiebriti, tubu na kuacha uovu ili upate baraka za Mungu math25.41, ufunuo 21.8, mithali 28.13
 
mtambuzi hebu tunga vitabu vya hadithi fupi fupi kama hizi, utatajirika nakwambia...
 
Ule uzi wa Mazishi Songea ulikuwa ni kiboko mzee, yaani mzee mzima nikakalishwa kwenye kigoda kutambikiwa kwa sababu ya unzinzi! ile sitakuja kuisahau..............LOL
Lakini hii ya leo umeionaje.................... nilifedhehekaje!?

Unajua Mtambuzi yaani siwezi kupita thread uliyoianzisha kwa sababu najua itakuwa ya kipekee na huna haja ya kukurupuka kwa maana ya kuwa wa kwanza kuanzisha.

Unajipanga pole pole na kuifanjia full editing kisha ikitoka ipo mahali pale.

Ya leo imenichekesha sana mtu mzima sijui kichwa yako huwa inafikiria nini. Big respect mkuu.
 
mizaha, masengenyo na uongo ni dhambi, na waongo wote sehemu yao ni katika ziwa liwakalo moto kiebriti, tubu na kuacha uovu ili upate baraka za Mungu math25.41, ufunuo 21.8, mithali 28.13

Unajuaje kama si mzaha, jamani ndiyo maana ikawepo jokes. Ni mangapi mabaya tunafanya ya kumchukiza Mungu wetu hatuhesabu ila hili?
 

heheh! teteteh! jamaani naumia kwa kucheka, lilopita kwa mwezio linafurahisha, liikukpata linauma kweli, lkn yote ni changamoto na maji ya maisha, unanikumbusha kisa kilichonipata nikiwa na miaka kama mitano, lkn aliyehusika ni kaka yangu kuimba kondoo na kumchinja na mm kuambiwa nikae nija panda nikiona watu nimwambie alikuwa kichakani, cc ni wafugani, wenye kondoo walipotokea nikakimbia mpaka nyumbani nikajifungia ndani, kaka akashikwa wakaja nae hom, kumbe waliniona nikikimbia, mwenyewe akanipakata nakuniambia sipigwi wala kugombezwa niseme yote, nikasema yote, kaka akapigwa ikaishia hapo lkn ilikuwa miaka ya 80 kweusi.
 
wewe utakuwa wa juzi tu maana zamani hizo Dar tulikuwa hatulipi pesa kwanza tukienda bar, hata kama ni mgeni.Hayo ya kulipa kwanza yameanza miaka ya karibuni. Ila hadithi ni nzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…