Akikabidhi jezi hiyo kwa Niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Newala,Musa Chimaye, ambaye aliona picha ya mtoto huyo kwenye mitandao ya kijamii akiwa amevaa fulana iliyochorwa kwa wino wa kalamu ndipo alipotoa fedha kwa mwandishi huyo ili ikanunuliwe jezi ya mchezaji Donald Ngoma apewe mtoto huyo kwa jinsi alivyoonyesha mapenzi makubwa kwa mchezaji huyo wa timu ya Yanga.
ITV ifikia katika shule ya msingi ya mkwaya,shule ambayo anasoma mtoto Juma Bakari na kukutana na walimu wake na kuelezea juu ya kuwaendeleza watoto wenye vipaji
ITV