JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,957
Ni mdogo wangu, yupo kwenye mitihani, jana nikamkuta na rundo la madaftari na vitabu, analalamika anasoma hayaishi na mtihani ni leo, anasema anasoma akifika mwisho ya mwanzo ameshasahau, basi kwa uchungu akaniambia, ''kaka, natamani kula haya madaftari ya notisi'', si unajua dawa ya moto ni moto, nikamjibu toa photocopy ili uchemshe unywe maji yake kusudi usikose cha kusoma kama utakuta hiyo siyo tiba.
Kusema ukweli dogo ana kichwa kizito, sema kukomaa ndo kunamsaidia.
Kusema ukweli dogo ana kichwa kizito, sema kukomaa ndo kunamsaidia.