Dogo Aslay ndio alikuwa mbadala wa Diamond kwenye bongofleva. Ila kwa nini anachukuliwa poa hivi?

Mnapenda almasi apotee alafu akishapotea nyie mtafaidika na nini?

Na akiwa juu nyie mnapungukiwa na nini?

Wabongo tuacheni chuki kisa mafanikio ya mtu tufanyeni kazi tufanikiwe na sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…