Dogo Asley afiwa na mama yake mzazi

Sasa yamoto band wapo wcb hamna point acha kuunganisha matukio yasio lingana
kedrick acha bangi kumbe ulikuwa hujui kama wapo wcb sasa na diamond ni miongoni mwa mamenagers wa wale madogo mpaka video ya "cheza kwa madoido kalipa yeye" na kama hujui hata ww ni wcb jiandae kwa kafara pumbavu kabisa wa nne chap
 
Last edited by a moderator:
Sijakata haya mambo nasikia ndo yalimfanya ivan aachane na zari nasikia yule demu ni mshirikina balaaa alitaka kuimaliza familia ya ivan ndo wakatemana sasa mumemleta wcb kashakula wa nne faster duuu
Kumbe bibie zari naye ana hayo mambo ya gizani asije tu akawamaliza kina domo sasa ebo.
 
Kumbe bibie zari naye ana hayo mambo ya gizani asije tu akawamaliza kina domo sasa ebo.
Toka zari aje pale wa nne wameshaenda na maji hatukatai sawa ni kifo ila "mungu anajua zaidi"
 
kedrick acha bangi kumbe ulikuwa hujui kama wapo wcb sasa na diamond ni miongoni mwa mamenagers wa wale madogo mpaka video ya "cheza kwa madoido kalipa yeye" na kama hujui hata ww ni wcb jiandae kwa kafara pumbavu kabisa wa nne chap

Naona bangi time zimeshakuchanganya utatoa udenda km king kiba yamoto band is under said fella tu, wcb is under diamond, na diamond is under said fella, salim, na babu tale
 
Last edited by a moderator:
R i p mama aslay
 

Attachments

  • 1442092108067.jpg
    49.8 KB · Views: 596
Naona bangi time zimeshakuchanganya utatoa udenda km king kiba yamoto band is under said fella tu, wcb is under diamond, na diamond is under said fella, salim, na babu tale
Haha na yeye pia ni manager ye analipa pesa ya video then wanakata kwenye show hata chambuso pia au umemsahau
 

Attachments

  • 1442092321202.jpg
    58.4 KB · Views: 554
Last edited by a moderator:
Risasi kwa risasi sasa ni hivi mzee kedrick daimond na davido wanaswali kanisa moja Nigeria ila wizkid nasikia alikataaa hayo maswala ya ushirikina ndo maana wanambania tuzo "starboy till end" wizkidayo
 
Last edited by a moderator:
Onyesha picha ya diamond akiwa katika ilo kanisa kama kibakuli alivyokamatwa Ana mwaga udenda
Haha poa yaishe tunatoka nje ya mada maana ila umepata somo kidogo
 
I dont care ..huyu si ndio alikuwa jangwani anapigia kampeni ccm huyu...
 
I dont care ..huyu si ndio alikuwa jangwani anapigia kampeni ccm huyu...

Watu wote wangechukulia siasa tena za kampeni kama unavyochukulia wewe basi watu wasingesemeshana...Kumbe Mkapa alikuwa sahihi
 
Hapa naamini kale ka msemo kanakosema kila chenye faida hakikos kuwa na hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…