DOGO ASLEY ANAJUA na NI MOTO WA KUOTEA MBALI!

DOGO ASLEY ANAJUA na NI MOTO WA KUOTEA MBALI!

kweli kutakuwa na tatizo sio bure kabisa kipaji hakijionyeshi kiviile....mana inatakiwa aanze kutoka hata nje
 
Anajitahidi sana kinachotakiwa awe na nidhamu ya kazi lakini pia ajiepushe na haya yanayoitwa mabifu yatampoteza, lakini na wasiwasi na management yake maana sisi wabongo bwana wengi wetu huwa tunaangalia matumbo yetu kwanza

SASA wewe kama mdau unashauri tumsaidieje ili walau afikie kwa akina KIBA NA DIOMOND?bado hajachelewa ushauri ataupata tu!
 
Back
Top Bottom