cjui mimi
Member
- Jul 7, 2013
- 67
- 8
habari wakuu,
naomba msaada ktk hili kwa mwenye utaalam ni hivi mtoto wangu ana miezi 6 sasa shida ni kuwa usiku analala kwa masaa machache sana almost matano afu akiamka halali tena yaani mtatoboa usiku leo ni kama siku ya nne hivi ila halii wala ukimcheki hana shida yeyote anacheza vizuri tu na mnaweza cheza mpaka asubuhi, ila mchana analala vizuri tu kunaweza kuwa na shida jamani, nawasilisha
naomba msaada ktk hili kwa mwenye utaalam ni hivi mtoto wangu ana miezi 6 sasa shida ni kuwa usiku analala kwa masaa machache sana almost matano afu akiamka halali tena yaani mtatoboa usiku leo ni kama siku ya nne hivi ila halii wala ukimcheki hana shida yeyote anacheza vizuri tu na mnaweza cheza mpaka asubuhi, ila mchana analala vizuri tu kunaweza kuwa na shida jamani, nawasilisha