Dogo Janja abwagwa rasmi,Jamii iwe karibu naye asije akafa

Dogo naye alikuwa anajitafutia shida. HIVI UNAWEZA KWENDA HAPO FERI UKAKUTA MATATIZO YANAELEA BAHARINI YAMELETWA NA MAWIMBI KUTOKA KUSIKOJULIKANA NA HAYANA UELEKEO UKAZOA NA KUPELEKA NYUMBANI UKASEMA UMEPATA?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kupita njia alizopita Diamond sio masihara!
Waliojaribu wote waliishia njiani.
Ona Ali Kiba, Harmonize, na sasa dogo janja.
 
Yes but for how long? How long utakimbilia hela? How long uta jump from one dick to another sababu ya pesa?

Umri unakwenda, no in age , au mpaka makunjanzi na soko likosekane ndio muanze kuwa watakatifu na kurudi kanisani kama kawaida yenu..?
 
Mwache tule vitu akijakushtuka giza limeingia
 
Duhhh we jamaa mtata sana walah
 
But go back to Irene's post, it's like she was talking what her fan was expecting and not her mind.
As for me am not taking it serious. Post ya Irene ilikuwa kama ni kejeli fulan kwa shabiki wake.

But deep down sionagi kama kuna real love hapo may be kengele za dogo zinampagawisha madam.
 
Yaan nilikuwa naisoma hii post bila kumsoma mwandishi afu nikajikuta nasema Kiranga huyu. Kurudi juu unakuta ww ndio mwandishi. Nakugawa buree
 
Dogo kashapanda chati mtaani.

Visista du vyote vinataka kujua Irene alifaidi nini hapo.
 
Yaan nilikuwa naisoma hii post bila kumsoma mwandishi afu nikajikuta nasema Kiranga huyu. Kurudi juu unakuta ww ndio mwandishi. Nakugawa buree
Hahahaha,

Una visa saaana wewe bibie.

Unataka kuniambia lile wazo langu la kubadili ID kwa sababu ya Kiranga imekuwa marufu sana litakuwa kazi bure tu, kwa sababu mnaujua "muandiko" wangu hata kabla ya kusoma ID?
 
Hahahaha,

Una visa saaana wewe bibie.

Unataka kuniambia lile wazo langu la kubadili ID kwa sababu ya Kiranga imekuwa marufu sana litakuwa kazi bure tu, kwa sababu mnaujua "muandiko" wangu hata kabla ya kusoma ID?
Tena bure bureshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…