HalielewekiYani tako la kwenye picha na uhalisia tofauti
Hahahaha bora apunguze mwili umodo unamkaa fresh lkn saiv tako limekuwa kama chapati ya kumimina iliyogomea kwenye kikaangiohahahahahahha mbavu zangu mie
duuuh
hujambo lakini?
Na afe tu kwa sababu hana faida yoyote afe tu,ili tupunguze mazezetaDah Dogo atakufa kweli na vile alikuwa amezoea kulelewa na like jimama afu limemuachia na mkono Wa nyan kama lilivyofanya kwa yule mrwanda
kwakweli nashawishika kuamini
ukinyimwa pumzi utapata hata nafasi ya ku comment hapa"... "'? umetokea wapi aisee mpaka wavamia habari ambayo haikuhusu" maana mimi nilikuwa naongea na mtu mwingine kabisaaa"" halafu hiyo comment yangu hivi umeielewa vyema kweli ""?? au ndio ukilaza wenyeweNyie wenzetu wenye akili nyingi heb mtuache vilaza sie tuendelee na ukilaza wetu!!
Jamani dunia mbona pana hii kwa nn tunyimane pumzi kwa kubanana kwenye Mambo vya vilaza!!
Zamu yako mkuu... Golden chanceDah Dogo atakufa kweli na vile alikuwa amezoea kulelewa na like jimama afu limemuachia na mkono Wa nyan kama lilivyofanya kwa yule mrwanda
Hebu orozesha kabisa mahitaji ya wazee huko nyumbani mm nakuja jumla jumla.Karibu sana
Amini nakwambia hiyo ni kiki , siku ukijua ukweli uje uanzishe thread humu na unipe credits zangu.kwakweli nashawishika kuamini
Ni sukubasi mwenyewe[emoji23]
bby wangu kwa maneno looohHahahaha bora apunguze mwili umodo unamkaa fresh lkn saiv tako limekuwa kama chapati ya kumimina iliyogomea kwenye kikaangio
Mi sijambo mamii
hahaaa eti ni kufa tuAmini nakwambia hiyo ni kiki , siku ukijua ukweli uje uanzishe thread humu na unipe credits zangu.
Watanzania ni wanyama wasiojuwa Jana .. Yaani ni manyumbu yanayojiendea endea bila kulinganisha mfululizo Wa matukio kujua ukweli. Kuanzia Dogo janja kuumwa na kupelekwa pale AAR hospital - Sinza ni movie tupu.
Kitu pekee ambacho huwa nakiamini kwa wasanii Wetu ni kufa tu hayo mengine ni 90% movie
ahahahahahhahaha noti raiti!Ni sukubasi mwenyewe[emoji23]
khaaaa umechambaaa!ukinyimwa pumzi utapata hata nafasi ya ku comment hapa"... "'? umetokea wapi aisee mpaka wavamia habari ambayo haikuhusu" maana mimi nilikuwa naongea na mtu mwingine kabisaaa"" halafu hiyo comment yangu hivi umeielewa vyema kweli ""?? au ndio ukilaza wenyewe
haaaa hahaa ulinikera binamukhaaaa umechambaaa!
nionee huruma basi kidogo!
ni huu ukilaza tu ndo unionee hivyo!
sio fresh ujue!
Kumbe kiaina unaielewa old testament halafu unajifanya kichwa ngumuUzee mwisho Mlandizi, tena tunausukuma zaidi bado kidogo mpaka unafika Chalinze.
Tunataka kuishi miaka kama ya watu wa Agano la Kale, kwa sasa bado vijana sana..
Watu kma nyie very pathetic and fools hivi ni lazm ucoment hata kma unaandika ugoro? Aliekulazimisha kusoma ni nani? Leta mada zako zenye akili tusome sio kuleta mambo ya kike kike hapaukute mleta uzi huu ni baba wa watoto watatu.. duh!