Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Enzi zetu Kulitokea Mashati yalioandikwa Juliana... Sema huyo Juliana naye ali-likoleza kwa kutwa Jina hilo.Ndo tunaitaga ivo huku kwetu usukuman. Kuna dada mmoja alikuwa anaitwa juliana alikuwaga mzur sana na alikuwaga anagawa sana kumbe bhana yule dada alikuwaga na ngoma tiar kwahiyo alikuwaga anafanya kugawa tu Bure. Sasa baada ya watu kuanza kuugua ndo wakawa wanaambiana bhana Nina Juliana . watu wakikuhis tu unangoma wanasema jamaa anajuliana kwahiyo kuanza hapo ukimwi ukawa unaitwa Juliana na yule mwenye ukimwi akawa anaambiwa anaumwa Juliana
Zipo had nyimbo za Juliana yaan ukimwi
No huo ni uongo, hiyo juliana niliambiwa ni sababu ya mashati fulani ya kipindi hicho yalikuwa yanatoka uganda (kumbuka ngoma kuja tanzania iliingia sana kutokea uganda na Zaire) na yalikuwa yamebana na membamba sana, so mtu alipokuwa ana ngoma hali yake si anakuwa mwembamba na ndio maana wakawa wanaita juliana na si hicho ulichoandikaNdo tunaitaga ivo huku kwetu usukuman. Kuna dada mmoja alikuwa anaitwa juliana alikuwaga mzur sana na alikuwaga anagawa sana kumbe bhana yule dada alikuwaga na ngoma tiar kwahiyo alikuwaga anafanya kugawa tu Bure. Sasa baada ya watu kuanza kuugua ndo wakawa wanaambiana bhana Nina Juliana . watu wakikuhis tu unangoma wanasema jamaa anajuliana kwahiyo kuanza hapo ukimwi ukawa unaitwa Juliana na yule mwenye ukimwi akawa anaambiwa anaumwa Juliana
Zipo had nyimbo za Juliana yaan ukimwi
Huyu mvulana alijichanganya tu kwa lile dude na tako lake baya
Kumbe kanumba bado anawala hao wadadaBwana hakujua kama sio kila wa kike ni wa kuoa"
Hao wadada KANUMBA + DIAMOND ndio wanajua kuwala na kuwamwaga sio kumvisha pete.
Nawasihi vijana mnapoingia majiji makubwa muwe makini msitishwe na make up'.. Wezi tu hao.
Akatafute saizi yake. Aachane na wakubwa. Makubwa awaachie wakubwa. Akatafute kicheche chenzake waanze kwenda kwa bakhresa kununua rambaramba.Muigizaji wa Bongo movie Mrembo Irene Uwoya ametoa kauli ambayo imethibitisha kuachana kwake na mume wake staa wa Bongo fleva Dogo Janja.
Kwa mwezi sasa kumekuwa na tetesi kuwa Irene Uwoya ameachana na Dogo huku tetesi hizo zikichangiwa na Safari aliyoifanya Uwoya wiki chache zilizopita nchini Dubai ambako ilisemekana alikuwa na mwanaume mwingine.
Ingawa wawili hao walishawahi kukataa tetesi za kuachana Lakini sasa inaonekana kama wameamua kuweka mambo hadharani kwani Uwoya ameandika maneno ambayo yameleta sintofahamu.
Kupitia page yake ya instagram, Uwoya ameweka comment kwa shabiki mmoja aliyemhoji Kuhusu Dogo Janja ambapo ameandika kuwa ameamua kumuacha Dogo Janja na kutafuta mwanaume anayeendana naye kiumri.
Irene Uwoya aliandika maneno haya:
Simlisema wenyewe nitafute wa umri wangu yeye bado mdogo? Sasa nimefata ushauri jamani…..au kaishakuwa
.....my take....
Jamii na marafiki wa karibu ni muda mwafaka kuwa naye karibu kwa ushauri maana mapenzi yanatesa na kuua,sio siri stress za mapenzi zinaua
Pole Dogo Janja
Yo guy still runs from the questions thouI LOOOOOVE IT WHEN YOU BRAGGING!!!
hahhahahhaha ni nyundo ya uso paaaaaaah!!
Huwa nachekaaaaa
Newton's third law of motion; to every action, there is an equal and opposite reaction.Kitabu cha The God Delusion kimetoka nipo Marekani.
Mimi nilishazibuka tangu niko Tanzania, nimesoma "The Philosophy of Religion: An Anthology", kabla ya "The Selfish Gene".
Kwa taarifa tu
Kama mimi, nahisi nimetua mzigo. Naanza kusaka malighafi mpyaMi mbona nikiachwa huwa siumii au niko tofauti nini??!!yaani nikiachwa huwa naskia raha sana
Bwege sana wewe kunywa balimi hapo nakuja kulipaDogo naye alikuwa anajitafutia shida. HIVI UNAWEZA KWENDA HAPO FERI UKAKUTA MATATIZO YANAELEA BAHARINI YAMELETWA NA MAWIMBI KUTOKA KUSIKOJULIKANA NA HAYANA UELEKEO UKAZOA NA KUPELEKA NYUMBANI UKASEMA UMEPATA?
Yaani mwanamke akitishia tu hapohapo nakanyagia eksleta....raha sana kuachana kuliko hata mnapoanza datingKama mimi, nahisi nimetua mzigo. Naanza kusaka malighafi mpya
Kuamini Mungu na kuamini uchawi zote ni imani sawa tu kwa sababu zote ni imani za supernatural forces.Newton's third law of motion; to every action, there is an equal and opposite reaction.
If there is no God, tell me what's there? Do u believe in magic/uchawi kwamba it exist?
Mimi napenda majibizano ya details.
NhahahhahaaaaMuandishi mashuhuri wa vitabu vya historia wa Uingereza - huyu Behaviourist kanifanya mimi intellectual, sasa nishampeleka kwenye ubuyu namrudisha kwenye u intellectual- Paul Johnson, alihojiwa na kipindi kimoja cha BookTV C-Span Marekani.
Akawa anatoa maoni yake, kipindi hicho ndiyo Obama anakuwa Rais.
Akawaanaongelea usomi usomi, akaulizwa, utapenda Rais Obama awe msomi msomi atuondoe kwenye ujinga wa Bush?
Akasema hatapendelea, wasomi wasomi wakiendeleza usomi sana wanakuwa boring, halafu wanafanya mambo kwa vitabu sana mpaka wanaharibu.
Angependa kuona Obama anakuwa anachanganya werevu wa kisomi na werevu wa kimtaa mtaa.
Sasa rafiki yangu Behaviourist asishangae akinikuta najichanganya kutoka ma "logical non sequitur" kwenye philosophy of religion, mpaka stories ya ku destress za Dogo Janja.
Dogo Janja anaweza kujadiliwa in the highbrow prism of a post-modernist existential Shakespearean fool's tragicomic Romeo and Juliet analogy.
Bora umaskini kilo mbili nazo je!Nyie vijana mnapenda sana mizigo iliyowazidi umri itawamaliza na mtabaki maskini
Watu wanaogopa magonjwa yasiyo ambukiza, na Hepatitis type B, HIV ukizingatia dozi na menu utaishi hata miaka 50, Muangalie Magic Johson tangu nazani mwaka 1993 hadi leo yupo tu.Bora umaskini kilo mbili nazo je!