Dogo Janja abwagwa rasmi,Jamii iwe karibu naye asije akafa

Siku hizi umeachana na mambo ya laws of relativity,consistency theory na unadeal na ubuyu?!
 
Sawa

Sawa mwanakwetu ila ungetumia tu Kiswahili tunakuelewa. Sasa ndo Kiingereza gani hicho.... ka yai viza
 
Siku hizi umeachana na mambo ya laws of relativity,consistency theory na unadeal na ubuyu?!
Hujanijua tu.

Sio tu na deal na ubuyu.

Kwetu ndio Mbuyuni penyewe wauza ubuyu wote wakuja kununua kwetu.

Tena sasa hivi tunauza mpaka juisi ya ukwaju, ya passion, ya parachichi na mpaka ya tangawizi.

Usinishushe cheo kwamba napatikana kwenye Fermat's Last Theorem na Poincare's Conjecture tu.

I am like all men rolled into one, like the 99 Summer Jam.
 
Ok,basi kama ni hivyo Mungu ni mkubwa!
 
Hahahaaaaa
 
Hahahaaaaa
Muandishi mashuhuri wa vitabu vya historia wa Uingereza - huyu Behaviourist kanifanya mimi intellectual, sasa nishampeleka kwenye ubuyu namrudisha kwenye u intellectual- Paul Johnson, alihojiwa na kipindi kimoja cha BookTV C-Span Marekani.

Akawa anatoa maoni yake, kipindi hicho ndiyo Obama anakuwa Rais.

Akawaanaongelea usomi usomi, akaulizwa, utapenda Rais Obama awe msomi msomi atuondoe kwenye ujinga wa Bush?

Akasema hatapendelea, wasomi wasomi wakiendeleza usomi sana wanakuwa boring, halafu wanafanya mambo kwa vitabu sana mpaka wanaharibu.

Angependa kuona Obama anakuwa anachanganya werevu wa kisomi na werevu wa kimtaa mtaa.

Sasa rafiki yangu Behaviourist asishangae akinikuta najichanganya kutoka ma "logical non sequitur" kwenye philosophy of religion, mpaka stories ya ku destress za Dogo Janja.

Dogo Janja anaweza kujadiliwa in the highbrow prism of a post-modernist existential Shakespearean fool's tragicomic Romeo and Juliet analogy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…