Dogo Janja afeli mtihani wa kidato cha pili

Dogo Janja afeli mtihani wa kidato cha pili

dogo janja amepata wastani wa 27 wa masomo yake. Civics 27, history 33, mathematics 0, kiswahili 46, geography 22, english 42, physics 20, chemistry 30, biology 27, commerce 8, bookkeeping 11

NAKUMBUKA MWL WANGu ALIKUWA ANAZIITA "NAMBA ZA VIATU"
 
lazma awe punda tu maana mziki anaofanya hauna soko kubwa na meneja anagharamia hela nyingi so mwisho wa siku atamgeuza punda tu kama wanavyofanya wasanii wengine...
 
Unadhani utaanadika data kama una phobia na hesabu??

Mama yangu can't stand sine, cosine, tanget and logarittm table, just the thought of it anazimia

Mathematics amepata 0?!?
Ina maana hata kuandika data collection kabla ya kukokotoa ameshindwa? Kha!
 
Shule co mahalabpake ila afanye yote amalize 4m 4 then aendeleee na hamsin zake hat kuuz karanga fresh
 
dogo janja babu zuzu
huyu dogo janja anapenda sana starehe na hiyo masematikisi ni 0 dah,huyo ndo icon wa TZ
 
iundwe tume ya kuchunguza matokeo mabaya ya wasanii waliosoma Makongo sec..akina Makamua............
 
nilimsikia juz akiamlyifay na milkardayo ayo kua kannua kiwanja Mbez ip cjui kwa 2 million f am not mistaken xo atajenga n shule alifel cz alkua na shoo nyng xo akashindwa kucover masomo yake bt atarudia 4m 2 oooopx inamaanisha ad April iii ajaenda shule bac tena hasom bt hana kipaj cha kusoma yy n music nly
 
nilimsikia juz akiamlyifay na milkardayo ayo kua kannua kiwanja Mbez ip cjui kwa 2 million f am not mistaken xo atajenga n shule alifel cz alkua na shoo nyng xo akashindwa kucover masomo yake bt atarudia 4m 2 oooopx kua kannua inamaanisha ad April iii ajaenda shule bac tena hasom bt hana kipaj cha kusoma yy n music nly

Jifunze kuandika vizuri unaeleweka kwa tabu sasa.Wewe na huyo dogo janja hamna tofauti sana.Nini maana ya :
akiamlyifay
milkardayo
kua kannua
oooopx
iii
hasom
yy n music nly?

Unatoa ujumbe au unachat na msela/demu wako wa mbagala?
 
Jifunze kuandika vizuri unaeleweka kwa tabu sasa.Wewe na huyo dogo janja hamna tofauti sana.Nini maana ya :
akiamlyifay
milkardayo
kua kannua
oooopx

hasom
yy n music nly?

Unatoa ujumbe au unachat na msela/demu wako wa mbagala?

move on bro dc z ol abt digital xo move on
km umeshindwa kuxona juc omba ueleweshwe Heeeee au uljua nimeandka kikabla changu mambo ya demu wa mbagala anatoka ap km umesahau mada 2namzungumzia dogo janja na c demu wa mbagala au ndo shem anakaa uko t cms umemmis kishenz ooooopx xry sana
 
move on bro dc z ol abt digital xo move on
km umeshindwa kuxona juc omba ueleweshwe Heeeee au uljua nimeandka kikabla changu mambo ya demu wa mbagala anatoka ap km umesahau mada 2namzungumzia dogo janja na c demu wa mbagala au ndo shem anakaa uko t cms umemmis kishenz ooooopx xry sana

jamaa kakuweka fresh,hayo maswala ya kuharibu lugha kwa kujidai ni maswala ya digital yanawapotosha vijana,inawezekana tunamuongelea dogo janja lakini kumbe wakina dogo janja wengine wapo humu humu ndani, sasa ukiulizwa hayo maneno ya x,xory,dc yametokana na nini sijui hata hutajibu nini zaidi zaidi ni kwamba mnaiga tu kwa kufuata mkumbo
 
move on bro dc z ol abt digital xo move on
km umeshindwa kuxona juc omba ueleweshwe Heeeee au uljua nimeandka kikabla changu mambo ya demu wa mbagala anatoka ap km umesahau mada 2namzungumzia dogo janja na c demu wa mbagala au ndo shem anakaa uko t cms umemmis kishenz ooooopx xry sana

Afya yako ya akili ipo salama kweli?
 
Kwa hiyo huyu dogo ana reseat form two?
 
jamaa kakuweka fresh,hayo maswala ya kuharibu lugha kwa kujidai ni maswala ya digital yanawapotosha vijana,inawezekana tunamuongelea dogo janja lakini kumbe wakina dogo janja wengine wapo humu humu ndani, sasa ukiulizwa hayo maneno ya x,xory,dc yametokana na nini sijui hata hutajibu nini zaidi zaidi ni kwamba mnaiga tu kwa kufuata mkumbo

Thanks umenisaidia,sina la kujazia kwa sasa nadhani amepata ujumbe.
 
Jifunze kuandika vizuri unaeleweka kwa tabu sasa.Wewe na huyo dogo janja hamna tofauti sana.Nini maana ya :
akiamlyifay
milkardayo
kua kannua
oooopx
iii
hasom
yy n music nly?

Unatoa ujumbe au unachat na msela/demu wako wa mbagala?

Kimtokacho mtu ndicho kiijazacho akili yake.
 
Sasa aitwe DOGO JINGA. Hata form II, ameshindwa kupanda mtungi.
 
dogo janja amepata wastani wa 27 wa masomo yake. Civics 27, history 33, mathematics 0, kiswahili 46, geography 22, english 42, physics 20, chemistry 30, biology 27, commerce 8, bookkeeping 11

Kwa mtindo huu. Asipoteze muda ajikite kwenye kitu anacjoweza mziki
Or kama kuna kitu kilichangia afeli basi atfkari upya
 
Back
Top Bottom