Dogo janja ampiga kijembe harmonize

Dogo janja ampiga kijembe harmonize

Wakijibiwa wanaanza oooh mara WCB hivii mara vilee kumbe wanaanzanga wenyw
 
f63ae4ff70ca61747d3a81c0cf3d4873.jpg
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
He got a point..... Huyo mmakonde ana ego za kibwege sana. Ila ni tatizo dogo, akiambiwa Kama hivi linaishia.
 
He got a point..... Huyo mmakonde ana ego za kibwege sana. Ila ni tatizo dogo, akiambiwa Kama hivi linaishia.
I hope unafahamu maana ya ego! Je, unaweza kutoa mfano mmoja wa kuonesha kwamba jamaa ana ego?!
 
Dogo janja namheshimu sana lakini Harmonize namkubali wenye chuki naye wanalao jambo
 
hao wwnajuana kwa kuwa meneja wao ni mmoja, wanapanga kutafuta kiki na kujadiliwa mitandaoni tu.
ni upuzi tuu
 
Soma hizo posts kisha chagua moja unayoiona ina elements zote hates kisha muulize mdau chuki yake dhidi ya Harmonize ni ipi! TRUST me, hatakupa jibu kuonesha wote hao wana chuki za kijinga tu!!
[emoji106]
 
Ujumbe umefika tunasubiri Amber Rose ajibu sasa
 
Back
Top Bottom