Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
RafikiKama wewe ulivyoweka kwa babu Asprin!
Rafiki nimekumiss hadi naumwa!Rafiki
Loooooooooooooooooh!![emoji846][emoji846][emoji846]......Rafiki acha kuutesa moyo wangu Mungu anakuona!Rafiki nilikuitia chura hata hujaja
Rafiki upate faraja hilo dude unaliwezaa?Loooooooooooooooooh!![emoji846][emoji846][emoji846]......Rafiki acha kuutesa moyo wangu Mungu anakuona!
Rafiki hakuna dude lolote la chura litakalonishinda,mie ndiye doctor Mwaka wa chura!Rafiki upate faraja hilo dude unaliwezaa?
Haahah na ww unaamini hivyo ? Irene uwoya ni wa akufunga Ndoa Ya VileHivi huyu D Janja naye aliamini kuwa yule mwanamke kamuoa!
Sawa rafikiiiRafiki hakuna dude lolote la chura litakalonishinda,mie ndiyo doctor Mwaka wa chura!
Nae kanjarohewa tayarCasto Dickson naye akamuone huyu mtaalamu wa maswala ya kisaikolojia.
Mm nampenda dogo janja sijui nifanyeje nimpate
Vipi Dr yuko vizuri sana eeenhHahahaahaha...ila mbele ya Dr.Chris lazima Dongo janja apone
ila wewe ni mzuri kuliko Irene rafiki!Dogo Janja alijitafutia makubwa tu. Mwanamke mzuri Kama Irene angemuweza wapi sasa....