Dogo janja Ana kwa ana na Dr. Chris Mauki

Dogo janja Ana kwa ana na Dr. Chris Mauki

Yani nacheka hapa utadhan mazuri , uwoya sio mtu mzuri
 
Naona mambo ya marketing strategy yanafanyika,hapo huyo wa kuitwa dr mauki anatengenezewa njia za kuvuta wateja kwenye semina zake za kuelimisha kuhusu mahusiano!!
 
Mbona kamjazia tena mavitabu hapo na anajua fika kuwa huyo Dogo alikimbia shule?
 
Pole sana dogo bora umejiwahi wengine wanakufaga kabisa mapenzi nyoko
 
HUYU DOGO ANAITAJI MSAADA SIO TU WA MAUKI BALI HATA VIONGOZI WA DINI,ROHO WA KIFO ANAMTAFUTA NILICHEKI INTERVIEW YAKE KUHUSU WIMBO WAKE WA IMANI,KIUKWELI NILIMUHURUMIA SANA;HUYU DOGO TUTAKUJA KUMPOTEZA HALAFU NDO TUANZE KUPIGA NYIMBO ZAKE REDIONI,KUMBE TUNGEWEZA KUMSAIDIA MAPEMA.
 
Hivi dogo Janja hajamla tigo Airini hadi Leo?[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Kwa sasa mwanaume anayependa hakika atapata wakati mgumu, wanawake sio watu wa kuwapenda ila ishi nae tu.
mkuu, ukikaa pamoja na mtu kwa muda unamzoea na kumpenda.
pia kumwagwa kama mwabaume inauma bora umwage wewe
 
Back
Top Bottom