Dogo janja Ana kwa ana na Dr. Chris Mauki

Mtt wa watu usikute aliachiwa kurudisha mbolea ndani kanogewa
 
Akianga upande wa faida yote yatakuwa mapya.
 

Mimi ninadhani dogo kaigiza ujasiri wa nyuki, kufa kwa ajili ya penzi hata kama la muda mfupi, yani kajilipua.Si unajua penzi la nyuki, siku moja dozi kwa malikia kisha chali.
 
Atamshauri nini Huyu? Huyu ndo yule na binti yake.??
 
Alisiwa na ngariba wake aliyemtahiri

Leo kamoyo kamemtepeta kama lichup la nandy
 
Dogo alipokosea ni kutaka kukaa mazima, piga then amsha. Yeye akatangaza ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…