Nipo hapa dogo janja nna maumivu sana ya kuachwaMm nampenda dogo janja sijui nifanyeje nimpate
[emoji23] [emoji23] hizo ndo dozi zake janjaro.Nimeona vitabu vingi na mezani. Swali ni kwamba huwa anavisoma vyote kwa wakati mmoja??[emoji457]
Una maanisha yule mrembo ana mkono wa nyani? Mbona balaaMawazo yataondoka kwa kushauriwa,je MKONO WA NYANI aka DALLY KIMOKO ataondoa na nini? MINJINGU au MBAAZI?
Balaa si kidogo MKUU...Kavamia Dege lisiloliwa aka Dege la jeshi.Una maanisha yule mrembo ana mkono wa nyani? Mbona balaa
Mliosoma kizungu mnaita ALL EGGS IN ONE BASKETAliweka moyo, ini na figo kwenye penzi lile.
Mwenzio kambemenda na wewe sasa unataka kumuua kabisa! Khaaah! Wanawake hamna huruma!Mm nampenda dogo janja sijui nifanyeje nimpate
Huku ikisemekana kuwa msanii huyo wa bongo fleva hana hali nzuri kisaikolojia,kufuatia taarifa za kuwa amemwagwa rasmi na mke wake Irene uwoya,janjaro Leo ameonekana katika picha ya pamoja na Dr Chris mauki ambaye ni mtaalamu wa saikolojia na mahusiano,huku picha hiyo ikienda sambamba na caption inayosomeka "tunahitajiana",Nini maoni yako?View attachment 885562
alitumbuki mzimaaa........!Aliweka moyo, ini na figo kwenye penzi lile.
R I P Ndikumanaalitumbuki mzimaaa........!
NjooAliekuficha mwambie namsalimia. Sio kwa kupotea hivyo jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushauri wa wataalamu huwa unaishia hapo hapo ofisini kwake....ukitoka nje unaanza kukumbuka yote na maumivu yanaanza upyaa!!!
Kweli we fyatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kamjazia tena mavitabu hapo na anajua fika kuwa huyo Dogo alikimbia shule?