Tofauti ya umri wa dogo janja na Uwoya ni miaka mingapi?Kipindi oprah inatoka dogo janja alikua darasa la 3, kweli domo kaharibu watoto
Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
Sio chini ya 17Tofauti ya umri wa dogo janja na Uwoya ni miaka mingapi?
Labda ni miaka 7 sio 17.Sio chini ya 17
Sawa endelea kuamini hivyo.Labda ni miaka 7 sio 17.
Umesema la maana. Hapa Uwoya anataka kujikumbushia ujana. Dogo hana hela ya kumpa Irene, kwahiyo definitely Dogo awe tayari ku-share na wenye nazo ili aendelee kuishi mjini.Sasa hivi anzeni kuuliza kuwa wanaachana lini?
dogo janja anasura ngumu ya chiniHivi Uwoya si ndio aliesema anavutiwa na wanaume wenye sura ngumu?
Kwanza angejua kilicho muua Abou xboy friend wa Irine.asingeyasema hayoAlitakiwa kusema "Mama yangu Irene Uwoya ana mvuto ana faa kuwa mpenzi wangu.."
Kama hili la huyu mtoto ni la kweli basi wakupewa lawama ni Madee na kina Babu Tale...huyu mtoto hawamshauri na kumuongoza vyema....huyu atavuna Ukimwi soon kwa mwendo huu...
Kweli wana ruhusu mtoto kuwa na Mama yake tena wa aina hii?
Itakuwa anajituma kwa juhudi na maarifa anawakuna sawasawa.Kama dogo janja asingeacha/kushindwa shule sasa hivi angekuwa chuo.Sasa nadhani dogo anaona ameshakuwa.Siyo Irene tuu Inasemekana Dogo anapendwa na Wamama/Madada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza angejua kilicho muua Abou xboy friend wa Irine.asingeyasema hayo
huyo mtoto naona anaigiza kila mjinga wa dar.
Sent using Jamii Forums mobile app