Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
nilisikia ametoka kimapenzi na Agnes MakondaDogo Janja amedai anampenda sana muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na amekuwa akimmezea mate tangia akiwa mdogo na ameweka picha zake nyingi magetoni kwake, anasema anatamani siku moja ifike akutane naye amwambie shida yake na atimize ndoto yake
Ila vijana wa siku hizi wanakosa adabu kabisa huyu kijana hata miaka 21 bado hajafikisha lakini anawatamani mama zakeDogo Janja amedai anampenda sana muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na amekuwa akimmezea mate tangia akiwa mdogo na ameweka picha zake nyingi magetoni kwake, anasema anatamani siku moja ifike akutane naye amwambie shida yake na atimize ndoto yake
Ndio maana mvua hazinyeshi kama inavotakiwa, maana daaaah ni hatari sana,Dogo Janja amedai anampenda sana muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na amekuwa akimmezea mate tangia akiwa mdogo na ameweka picha zake nyingi magetoni kwake, anasema anatamani siku moja ifike akutane naye amwambie shida yake na atimize ndoto yake
Hiyo ni mental health case.Hawa madogo wa siku hizi acha tu kuna mmoja alimgegeda bibi wa miaka 70 live mbele ya macho yangu.
Kwan lini umekuwa mkubwa?Dogo Janja amedai anampenda sana muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na amekuwa akimmezea mate tangia akiwa mdogo na ameweka picha zake nyingi magetoni kwake, anasema anatamani siku moja ifike akutane naye amwambie shida yake na atimize ndoto yake
ndomu zipo.Hata kama ana Ngoma!?
Hahaha Amtungie wimbo Mzuri kama Wahindi wafanyavyo... ila Huwa zinapasuka sometimes...wasipokuwa makini...ndomu zipo.
Wakubwa wenyewe wapo uchi tayariHawa watoto wanapenda sana kuchungulia wakubwa.