Dogo Janja: Nammezea mate sana Irene Uwoya tangia nikiwa mdogo, naomba siku moja nitimize ndoto

Dogo Janja: Nammezea mate sana Irene Uwoya tangia nikiwa mdogo, naomba siku moja nitimize ndoto

Hutu tusanii uchwara sijui tunawaza kwa kutumia kiungo gani cha miili yao!!!wakati wenzao nje huko wakiwa na ndoto na wakiwaza wafungue kiwanda cha nguo au perfumes gani vyenyewe vinawaza kuwavua nguo wanawake rika la mama zao.yaani diamond ametumbukiza tupu yake,hamo nini sijui nae katumbukiza bado wale wa buku ten ten halafu haka kakinda nako kanawaza kumvua nguo huyo bibi...shame!
 
Sina hakika kama mpaka sasa shetani anahitaji watu tena!!!!
 
Wamesha zoea wanapenda kukubwa kwa sababu kutamu kudog kunachubua aise hata napenda kukubwa Kuna lah
 
Diamond sasa hivi haonekani kama ni mdogo tena hivyo hata hao wakipenda mambo ya kikubwa mwishoni mtawaona wakubwa tu.

Ukubwa akili siku hizi sio namba.
 
Wakubwa
Dogo Janja amedai anampenda sana muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na amekuwa akimmezea mate tangia akiwa mdogo na ameweka picha zake nyingi magetoni kwake, anasema anatamani siku moja ifike akutane naye amwambie shida yake na atimize ndoto yake


Wakubwa wanafaidi. Amechelewa?
Ajaribu!
 
Wakubwa
Dogo Janja amedai anampenda sana muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na amekuwa akimmezea mate tangia akiwa mdogo na ameweka picha zake nyingi magetoni kwake, anasema anatamani siku moja ifike akutane naye amwambie shida yake na atimize ndoto yake


Wakubwa wanafaidi. Amechelewa?
Ajaribu!
 
Inamaana hajawah
Kukutana nae ana kwa ana??
 
Back
Top Bottom