Dogo janja vs madee

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Japo baadhi ya wasanii wanalalamika kuwa "ma promoter" wanawanyanyasa wasanii, kuna dalili zote kuwa baddhi ya wasanii pia wanataka kutumia fursa za wasanii wenzao kurekebisha maisha. Kiwingu kimatawala kuhusu bifu lililopo kati ya Madee na Dogo Janja baada ya Dogo Janja kurejeshwa Dar na Ustaadh Juma. Wiki iliyopita Madee alihoijiwa na Clouds TV katika kipindi cha Chat room ya Clouds TV na alionyesha kuwa alikuwa na nia njema kumsaidia Dogo Janja, wiki hii Dogo Janja kapanda Studio hizo hizo na kuanika masiah yake na Madee ambapo amebainisha kuwa Madee alipanga kumtumia tu kimziki na sio kumwendeleza.





 
Madee na dogo janja akili zao ziko sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…