Habari wakuu!
Kuna dogo ana div 1 ya 9 amechaguliwa udom na chuo cha mipango Dodoma, lakini vyuo hivo aliviweka mwishoni kabisa akitegemea kwamba atachaguliwa vyuo alivyoweka mwanzo sasa anatumiwa meseji kila siku ya Ku confirm.
Anasubiri deadline ifike then aombe tena chuo kingine tofauti na hivo. Sasa je haitaleta changamoto?
Anaejua utaratibu wa siku hizi ukoje msaada!