Dogo miaka 9 atoa talaka ya Gf wake!

Dogo miaka 9 atoa talaka ya Gf wake!

Watoto wapelekwe kanisani wapate mafundisho sahihi na hofu ya Mungu. wengine wakiitwa wachumba wanasema kabisa mie bado mdogo
 
Watoto wapelekwe kanisani wapate mafundisho sahihi na hofu ya Mungu. wengine wakiitwa wachumba wanasema kabisa mie bado mdogo
Ni kweli gaga, mara nyingi mafundisho ya dini humjenga mtoto kimaadili na kitabia... Kama wazazi/wazazi watarajiwa kuna kila sababu ya kujifunza malezi ya watoto!
 
Karne hii Miaka 9 darasa la tatu!!!! Wazazi wa huyo mtoto wako serius kweli??? maana hata kijijini siku hizi miaka 9 uko la 4.

Otherwise inawezekana hata umri ana zaidi ya 9.


Watoto wapelekwe kanisani wapate mafundisho sahihi na hofu ya Mungu. wengine wakiitwa wachumba wanasema kabisa mie bado mdogo

Hiyo haisadii ukimpeleka kanisani katekista ndio amkataze kungalia sunset beach. teh teh teh . Katekista yeye kazi yake ni ku kumfundisha upendo. na kusali. Mengineyo ni ni kazi ya wazazi na jamii.
 
Karne hii Miaka 9 darasa la tatu!!!! Wazazi wa huyo mtoto wako serius kweli??? maana hata kijijini siku hizi miaka 9 uko la 4.Otherwise inawezekana hata umri ana zaidi ya 9.Hiyo haisadii ukimpeleka kanisani katekista ndio amkataze kungalia sunset beach. teh teh teh . Katekista yeye kazi yake ni ku kumfundisha upendo. na kusali. Mengineyo ni ni kazi ya wazazi na jamii.
Mkuu kizazi cha sasa uangalizi wa ziada wa watoto ni muhimu! Jamii ya sasa maadili mabovu, watoto huaribikia mtaani!
 
Barua za kopa dah asinidanganye mtu hajachora/cholewa ha ha haaaaaaa na mkuki mkubwaaaa
 
Barua za kopa dah asinidanganye mtu hajachora/cholewa ha ha haaaaaaa na mkuki mkubwaaaa
Mkuu madogo wa kizazi hiki ucpime, wapo ktk mambo fulan mbele huwezi amini!
 
Wakuu Serikali ilikataza watoto kuwaita wachumba ili kuwakinga na tabia za kifataki, sasa huyo mama sio kuwa anaaribu maadili ya mtoto kwa kumita mchumba? Watoto wa umri kati ya Miaka 5 kwenda juu niwadadisi sana hivyo tunawaaribu sisi wenyewe.
 
Wakuu Serikali ilikataza watoto kuwaita wachumba ili kuwakinga na tabia za kifataki, sasa huyo mama sio kuwa anaaribu maadili ya mtoto kwa kumita mchumba? Watoto wa umri kati ya Miaka 5 kwenda juu niwadadisi sana hivyo tunawaaribu sisi wenyewe.
FATAKI Hazuiliki mkubwa, Dogo keshadata huyo!
 
Nimejaribu kuitafuta nimeshindwa kuipata, but i read similar story from yahoo page 2 days ago, copy and paste at its best!
 
Back
Top Bottom