Dogo sisco ashindanishwe na Yasini kwenye draft

Dogo sisco ashindanishwe na Yasini kwenye draft

Nduli, Noel, Issa Mamba Je ? huyu sisco nlimwona siku moja ila sikujua kama anaweza kumgonga ronaldo 5-1

Sisco vs Issa Mamba, last game Sisco alishinda 3 - 1; waliwekewa 150,000/-.

Game ya Ronaldo vs Sisqo ilikuwa ya 300,000/-.

Nduli vs Sisqo; walikutana nusu fainali mashindano aliyoshinda Dogo Yassin, Nduli alishinda 3 - 1.

Sisqo vs Noel: Mashindano aliyoshinda Sisqo, nusu fainali Sisqo 2 - Noel 0.
 
Sisco vs Issa Mamba, last game Sisco alishinda 3 - 1; waliwekewa 150,000/-.

Game ya Ronaldo vs Sisqo ilikuwa ya 300,000/-.

Nduli vs Sisqo; walikutana nusu fainali mashindano aliyoshinda Dogo Yassin, Nduli alishinda 3 - 1.

Sisqo vs Noel: Mashindano aliyoshinda Sisqo, nusu fainali Sisqo 2 - Noel 0.
sema kaz zinatubana ila huwa napenda sana kuwaangalia hawa...kumbe kawagonga wote kasoro nduli
 
Weekend lazima kuwe na kipute, nina kama week na nusu sijapata updates za pale. Ila game lazima ziwepo.
ukiwa unatoka biafra unakuja studio upande huo huo kuna wafanya biashara pale road kabla hujafika njiapanda ya kwenda kinondoni makaburini yanapopita magari ya mwanyamala posta(zamani) kuna draft pale kuna vibonde wenzangu najipigiaga, huku upande wa pili kama unarud morocco naendaga kuchukua mbinu hahaha
 
ukiwa unatoka biafra unakuja studio upande huo huo kuna wafanya biashara pale road kabla hujafika njiapanda ya kwenda kinondoni makaburini yanapopita magari ya mwanyamala posta(zamani) kuna draft pale kuna vibonde wenzangu najipigiaga, huku upande wa pili kama unarud morocco naendaga kuchukua mbinu hahaha

Pembeni ya gorofa wanaloonyesha mpira au siyo?
 
Nipen update wapi naweza nikamkuta huyo dogo Sisco.? I mean kijiwe chake ni wap.?
csco.jpg

Huyo wa kwanza alonyoa pank ndio mtaalamu mwenyewe, alafu dogo janja anaefuata jina simkumbuki alafu Noeli..Hapo wa kwanza kulia na wakwanza kushoto ni hatari sana mkuu
 
Back
Top Bottom