Mbona ina nigomea mkuuWithdraw bado zinaendelea ,kwa wale ambao bado fanya mchakato huo kuhamisha coin zako kwenda kwenye wallet yako
Umefanikiwa ku comfirm withdraw?Mbona ina nigomea mkuu
Vipi prediction ya listing inaweza ikaongezeka zaid ya hapo!? Nipe evaluation yako na naona exchange nyingi zimeichangamkia hii DogsKwasahiz kwny pree sale market ina 0.04$
Utaelewa tuu π π πMi mbona sielewi
Hujaelewa wapi mkuu nikuelekeze?Mi mbona sielewi
Ilikuwa tonkeeper app, ikaja Bitget wallet app,leo naona kuna OKX app , sasa tu connect ipi kati ya hizo?Niamby wap umekwama mkuu
Kunufauka na coin za bure ni jambo la muda mrefuIlikuwa tonkeeper app, ikaja Bitget wallet app,leo naona kuna OKX app , sasa tu connect ipi kati ya hizo?
Me si ndo niliwaletea huu mchongo basi nisikilien mm OKX TONKEEPER LAZMA UWEKE PESA KDG ILI IWEZE KUPOKEA COINIlikuwa tonkeeper app, ikaja Bitget wallet app,leo naona kuna OKX app , sasa tu connect ipi kati ya hizo?
Kwamba kesho tu wananufaika?Kesho sio mbali calm down
vp kuhus binanceNdo maanake kama ulikuwa mpenz mtazamaji na ukiita kila fursa ni utapeli IS UP TO TO YOU