Katika wiki hii nimeshuhudia michezo ya riadha, kuruka, kutupa tufe nk. mjini Doha ikifanyika ambapo wanamichezo karibu dunia nzima wako pale. Natumaini na sisi Watanzania tuliwapeleka wana michezo wetu akina Alphonce Simbu.
Tangu michezo hii ianze sijafanikiwa kumwona mwanariadha yeyote kutoka Tanzania. Je akina Simbu wako wapi?.
Tangu michezo hii ianze sijafanikiwa kumwona mwanariadha yeyote kutoka Tanzania. Je akina Simbu wako wapi?.