mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
at first niliwaza jinsi gani y akufanya biashara na at the same time nifanye kazi yangu ya kuajiriwa..niliwaza sana hasa ukizingatia ujasiriamali upo damuni...
The thing i did was to keep exploring na kutafuta watu walio serious wanaofahamu wanafanya nn ila wameshindwa kusimama kwa sababu kadhaa..trust me nimefanikiwa kwa biashara zangu mbili
wa kwanza nilimpata maeneo ya dsm-posta along samora;ni kijana mstaarabu;anafanya biashara kw auaminifu ila tu tatizo lake ni mtaji...........baada ya kujiridhisha vya kutosha tukakaa chini nikaweka mtaji mezani.........haikua ngumu sana ila inahitaji maamuz magumu...nilitoa mtaji na malipo ni comision based..kwa sasa anachukua 40% ya faida while 60% is mine.........sihitaji kumfuatilia sana maana anafahamu anachokifanya...that is one!!
the second business the same applied;nikapata kijana anaejua anachokifanya...ila alikosa mtaji pia..now we are in 30% kwa 70% comision based na iko reviewed based on profit margin per month........nina uhakika w akupata kipato fulani kila mwezi wit very minimum supervision...........take risk.........!!Do business
The thing i did was to keep exploring na kutafuta watu walio serious wanaofahamu wanafanya nn ila wameshindwa kusimama kwa sababu kadhaa..trust me nimefanikiwa kwa biashara zangu mbili
wa kwanza nilimpata maeneo ya dsm-posta along samora;ni kijana mstaarabu;anafanya biashara kw auaminifu ila tu tatizo lake ni mtaji...........baada ya kujiridhisha vya kutosha tukakaa chini nikaweka mtaji mezani.........haikua ngumu sana ila inahitaji maamuz magumu...nilitoa mtaji na malipo ni comision based..kwa sasa anachukua 40% ya faida while 60% is mine.........sihitaji kumfuatilia sana maana anafahamu anachokifanya...that is one!!
the second business the same applied;nikapata kijana anaejua anachokifanya...ila alikosa mtaji pia..now we are in 30% kwa 70% comision based na iko reviewed based on profit margin per month........nina uhakika w akupata kipato fulani kila mwezi wit very minimum supervision...........take risk.........!!Do business