Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayapo ni propagandaHaya mambo hayajaanza kusikika leo...
Mkuu hao wasanii uliotaka walisema je,naomba link nikachek testimony zaoKipindi unaona ni mziki wenzako ni ibada ya kulaani maisha yenu.
Subliminal messages zinazokupita machoni ni nyingi na huzioni Bado Backmasked Messages za lyrics zinapita maskioni na hatuzielewi.
Kanye,Dmx, XXX tentacion na wengine wengi walishaweka wazi kuhusu money,fame n power katika uso huu wa dunia ni fake power na maumivu.
Find channel inaitwa Truth unveiling hata FB ipo.Mkuu hao wasanii uliotaka walisema je,naomba link nikachek testimony zao
Hivi kumbe kuna msanii anaitwa dojaDoja anatafuta attention
DduuhhhMusic industry huwezi wakwepe illuminated huwezi shine kwenye music bila kuuza nafsi yako kwa baba lusifa.
au site inaitwa vigilante citizen.. ina wa expose sanaFind channel inaitwa Truth unveiling hata FB ipo.
Huyo ambaye anawaambia wasioe hua ni nani?🤔Bado young akifika matured ataanza kujitambua na kuona the light,so akitaka kuondoka atatafutiwa skendo hata ya nyuma aliyosahau Kama walivyomfanyia R.Kelly, Celine Dion sijui kavunja masharti gani naona wamemfix wanamla mifupa kidogo kidogo soon atabakia skeleton.
Hawa wabongo wameambiwa wasioe,wakioa tu ndio mwisho wao.
Yule waliemuuzia nafsi yaoHuyo ambaye anawaambia wasioe hua ni nani?🤔