Dokezo: Mungu hajihusishi na mambo yasiyo kuwa na maslahi kwake. Tambueni hilo

Dokezo: Mungu hajihusishi na mambo yasiyo kuwa na maslahi kwake. Tambueni hilo

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
Kuna baadhi ya watu wanapenda sana kumuingiza Mungu katika vitu ambavyo havina faida kwake.

Unakuta timu ya mpira inacheza labda Tanzania na Kenya, kila upande wa mashabiki wanaomba Mungu washinde sa Mungu atashabikia timu gani? Ikishinda Kenya tutasema Mungu ni mbaguzi?.

Ukraine vs Russia wako vitani wanapigana. Hapo Mungu yuko upande gani? Vipi Ukraine kashinda ni Mungu kamsaidia? Mungu atapata faida gani Urusi ikishindwa? Au hasara gani Ukraine ikishida?.

Mungu anawasaidia wale wanaoshika amri zake na wanaotimiza mambo ya ufalme wake hapa duniani. Mambo gani hayo, kutangaza habari njema, kuhubiri kuhusu ufalme,na kuishi kulingana na kanuni za biblia tu.

Mungu anaonaje vita vya leo?
 
😂😂😂😂 Yaan kuna vitu ukifikiria unabaki njia panda tu
 
Hayo yasikusumbue..
La kuweka moyoni na akilini mwako tu ni kwamba.. wewe ni mwanadamu na hujui Mungu anahusianaje na wanadamu. Kuzaliwa tu ulijikuta duniani na hadi sasa kwa umri huo kuna mliozaliwa siku moja maelefu.. lakini kuna waliofariki, wanaoteseka, waliofungwa.. waliotajirika.. n.k
 
Kuna baadhi ya watu wanapenda sana kumuingiza Mungu katika vitu ambavyo havina faida kwake.

Unakuta timu ya mpira inacheza labda Tanzania na Kenya, kila upande wa mashabiki wanaomba Mungu washinde sa Mungu atashabikia timu gani? Ikishinda Kenya tutasema Mungu ni mbaguzi?.

Ukraine vs Russia wako vitani wanapigana. Hapo Mungu yuko upande gani? Vipi Ukraine kashinda ni Mungu kamsaidia? Mungu atapata faida gani Urusi ikishindwa? Au hasara gani Ukraine ikishida?.

Mungu anawasaidia wale wanaoshika amri zake na wanaotimiza mambo ya ufalme wake hapa duniani. Mambo gani hayo, kutangaza habari njema, kuhubiri kuhusu ufalme,na kuishi kulingana na kanuni za biblia tu.

Mungu anaonaje vita vya leo?
Umeongea ukweli mzito sana. Sana yaani
 
Back
Top Bottom