Dokii, msanii wewe umechemshaaa


Mauno yake yalikupa mfadhaiko? huo ukame wako inabidi uwe makini usije kubaka watoto wa watu!
 
watu wanakata viuno makanisani itakua hapo kwenye magamba.!!
 
fyi sio kila kanisa uonalo ni kanisa dada wewe kwa taarifa tu
sijasema makanisa yote,na sijataja hata kanisa moja. Labda ungeniuliza ni kanisa gani wanalokata viuno....? Na aliekwambia mimi dada yako ni nani.?
 
sijasema makanisa yote,na sijataja hata kanisa moja. Labda ungeniuliza ni kanisa gani wanalokata viuno....? Na aliekwambia mimi dada yako ni nani.?


Sasa mbona unaanza kukasirika idawa ..?? Kwani kuna kosa kuwa ndugu yake...hahahahahahhaha
 
Last edited by a moderator:
dah hiyo picha na kapuya khaaa, way out of touch! Huyo dokii hata aibu haoni
 
we kweli kalagabaho, husomi majina kwanza? alopost hiyo ni Joyce Paul, she's a woman man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…