vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,701
- 1,406
Mauno yake yalikupa mfadhaiko? huo ukame wako inabidi uwe makini usije kubaka watoto wa watu!
huyo unayemjibu hivi ni mwanamke...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mauno yake yalikupa mfadhaiko? huo ukame wako inabidi uwe makini usije kubaka watoto wa watu!
Jamani leo nimejaribu kuchungulia nione kizota kuna ni pale nikamkuta msanii dokii akitoa burudani.yaani nilifadhaika sana na mfadhaiko huo uliniacha na maswali mengi pia..huyu dada alikuwa akikata viuno kama hana akili nzuri mbele ya viongozi wa taifa wenye imani tofauti haswaa za kidini ambao wameshika dini sana..me nimekwazwa na uchezaji wake na wanawake waliokuwa eneo lile wengi wao walijishika midomo huku wameinamisha vichwa vyao chini ishara ya kuhamaki wanachokiona...jamani wasanii angalieni mnatoa wapi burudani na sio kujichetua mbele ya kadamnasi yenye watu wa rika tofauti na imani tofauti..