mamakibunju
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,009
- 221
Huyu hafanyi biashara ya poda kweli? Maisha ya vigodoro yanatosha kwenda marekani kwa ajili ya kujifungua tu au ni gharama ya wanyama wetu.
Ndiyo kazaliwa kule , hata ww binamu kama una pesa yako wife akipata ujauzito unamkimbizia kule akizaa tu mtoto anapewa urahia anapata passport yake unarudi bongo, lolote mbeleni likitokea dogo anatimba zakrle US akasome bure nk....Hao mafisadi wote wake zao na vimada wanazalia marekani sababu ya karatasi
Kazaliwa marekani tena new york
Kuna baba mtoto ana pesa kama vuzi la mwendawazimu, mose iyobo ni baba mlezi kuna baba mzazi , kwa kimombo👉👉👉 there is biological father....
Tanzania ina sheria ya kuruhusu double nationality?
Kuna jirani yangu apa mke wake alikuwa ana hamu kweli ya kujifungulia marekani, mpaka akaenda kumbe ndo janja yao? KWa hyo jokate nae mmarekani?
Huyu hafanyi biashara ya poda kweli? Maisha ya vigodoro yanatosha kwenda marekani kwa ajili ya kujifungua tu au ni gharama ya wanyama wetu.
Tanzania ina sheria ya kuruhusu double nationality?
Kazaliwa marekani tena new york
Kazaliwa marekani tena new york
get your facts together..
alizaliwa Washington DC..(kumbuka,Baada ya kufikisha miaka 18 unakuwa na haki ya kuchagua uwe raia wa wapi)..Tanzania hairuhusu uraia pacha,Je aliwezaje kushiriki mashindano ya Urembo kuanzia ngazi za chini mpaka ya kitaifa kama ni raia wa Marekani?
Kuna jirani yangu apa mke wake alikuwa ana hamu kweli ya kujifungulia marekani, mpaka akaenda kumbe ndo janja yao? KWa hyo jokate nae mmarekani?
Cheusi dawa nae kwa kupenda makubwa, sasa ukijifungulia marekani ndo mtoto atakuwa mzungu au nfyuuu
......................Baba yake si alikua balozi waTz au
Joketi alizaliwa Washington DC nchini Marekani mwaka 1987 ambako wazazi wake walikuwa wakifanyia kazi.Primary amesoma Olympio Primary School,Dar-es-Salaam. Secondary amesoma St.Anthony's Secondary School na High school amesomea Loyola High School, na alimemaliza Chuo Kikuu cha Dar es salaam katika Political Science.
Mwaka 2006 alishika nafasi ya pili (2) katika Miss Tanzania, na mbali na kuwa mcheza cinema Joketi amekuwa akijishughulisha katika Mavazi, Master of Ceremony (MC), Mwimbaji na Maendeleo ya wanawake, TV host / na shows mbalimbali za kijamii
get your facts together..
alizaliwa Washington DC..(kumbuka,Baada ya kufikisha miaka 18 unakuwa na haki ya kuchagua uwe raia wa wapi)..Tanzania hairuhusu uraia pacha,Je aliwezaje kushiriki mashindano ya Urembo kuanzia ngazi za chini mpaka ya kitaifa kama ni raia wa Marekani?
Lundenga huyu huyu ndio akague vyeti..teh teh teh...
Vyeti hivi hivi vinavyogawiwa RITA
get your facts together..
alizaliwa Washington DC..(kumbuka,Baada ya kufikisha miaka 18 unakuwa na haki ya kuchagua uwe raia wa wapi)..Tanzania hairuhusu uraia pacha,Je aliwezaje kushiriki mashindano ya Urembo kuanzia ngazi za chini mpaka ya kitaifa kama ni raia wa Marekani?