Dokta Amzuia Aunty kujifungulia Marekani

Yani nimecheka Sana eti bongo movie wakapange foleni muhimbili ila jamni nachoshangaa mtu mimba ikiiwa kubwa Sana huruhusiwi kusafri inamaana alikua hajui au hawa bongo movie full drama tu

Anatuzuga tu uwezo wenyewe anautoa wapi? Karubandika wa mujini yule
 
Amuulize seky walivyomfanya... nimesikia umbea lulu kakamatwa airport alikuwa anatoroka sijui kweli

Alikua anaenda wapi si ana mitihani au ilikua ya siku moja halaf karudi Insta kama kawa ama nene!!!!alikua anatoroka aende wapiii kwani haruhusiwi kusafirii??eti mm sinta ndie aliemsema
 
By the way ,I have prove that english was your favourate subject at kayumba school is there )))))anything else u wanna add up so we can finish this league of your own rather than fillin' up the thread with rubish?

It's pretty hilarious reading your comments, do you get a headache when you try to think? Obviously you don't produce very complex thoughts and resort to attacking an individual when confronted with an argument (a common theme amongst bozos).
 
Amuulize seky walivyomfanya... nimesikia umbea lulu kakamatwa airport alikuwa anatoroka sijui kweli

Nakwambiaaa!
Wamempiga na picha.Nadhani alikua anamsindikiza mtu labda.
 
Lakin si wanasema ukizaliwa ubalozi wa Tanzania we ni mtanzania tu

Ukizaliwa na mzazi ambaye ni diplomat basi unapoteza ile haki ya kupewa uraia wa kuzaliwa wa Marekani....

Kama baba yake alikuwa ni diplomat basi huyo binti hana uraia wa Marekani wa kuzaliwa...

Ukizaliwa na mzazi au wazazi wa kawaida tu wenye US visa isiyo ya kidiplomasi basi mtoto hupewa uraia wa kuzaliwa na haki zote kama raia wa Marekani hadi atakapofikisha miaka 18...

Kwa nchi zenye kuafiki uraia pacha hata akifikisha miaka 18 bado mtoto huyo atakuwa na haki ya kuwa Mmarekani...
 
Ukizaliwa na mzazi ambaye ni diplomat basi unapoteza ile haki ya kupewa uraia wa kuzaliwa wa Marekani....

Kama baba yake alikuwa ni diplomat basi huyo binti hana uraia wa Marekani wa kuzaliwa...

Ndio hivyoo hebu nisaidieeeee cc mama kibunju
 
Last edited by a moderator:
Tanzania,the movie title
ccm,the main actor,
wananchi,extra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…