Dokta Mwaka, kama mambo yako ya familia na maisha unaweka kwenye media utamaliza kwenye media

Dokta Mwaka, kama mambo yako ya familia na maisha unaweka kwenye media utamaliza kwenye media

Watu wanne kitandani hiyo ni orgy. Yaani mbususu chumba kizima, ukigeuka huku tako ukigeuka huku chumvichumvi. Huyu mpwa akifika Peponi ashangaishangai, maana ashazoea
Yaani nimecheka Kama mwehu vile,hadi watu wakanishanga kwa daladala!![emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dokta mwaka ulikosea sana mambo yako kuweka kwenye media ulivojitamba unawamudu wake zako mpaka kutuambia mnalala kitanda kimoja wake watatu.

Sasa leo siri zako zitatue kwenye media ndio ulipojiweka.
Tena Namwambia asiwepo mtu mmoja kati yenu, atakaye yafanya maisha yake binafsi kuwa ya kitaifa na kimataifa.

Alikuwapo mtu mmoja kati ya wanaojihita watumishi wa Bwana,alikwenda nchi ya mbali na kuagiza watu wa nyumbani kwake kupeleka waraka wa kifo kwa msaidizi wake, naam siku ya pili akapotea.

Alikuwapo mtu mmoja katika wale wenye vipaji vya kuhamsha hamasa kwa watu wengi katika michezo. Naye alikimbiwa usiku mweupe akiwa hajitambui.

Kuna yule mwenye kulala na wake wengi na kujinasibu mbele za watu wengi.Naya kakimbiwa na mmoja wa wakezake. .

Itaendelea****
 
Back
Top Bottom