Hii ilitokea hospitali ya vichaa.
Dokta alikuwa anawapima wagonjwa wa akili.
Dokta:Leo tunabadilika kuwa wanyama
Vichaa wakaanza wengine kutembea kama ng'ombe wengine wanalia kama mbuzi ,wengine wanalia kama mbwa..Ila mmoja akawa amekaa ametulia
Dokta:akafurahi na kumfuata yule aliyetulia kwa tabasamu. VP mbona umetulia hivyo akamjibu shiiii nataga.