Dokta na wagonjwa wa akili.

Tanwise

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
466
Reaction score
1,033
Hii ilitokea hospitali ya vichaa.

Dokta alikuwa anawapima wagonjwa wa akili.
Dokta:Leo tunabadilika kuwa wanyama
Vichaa wakaanza wengine kutembea kama ng'ombe wengine wanalia kama mbuzi ,wengine wanalia kama mbwa..Ila mmoja akawa amekaa ametulia
Dokta:akafurahi na kumfuata yule aliyetulia kwa tabasamu. VP mbona umetulia hivyo akamjibu shiiii nataga.
 
Kwi kwi kwi
Wagonjwa bado wanahitaji dozi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…